Poleni xana makamanda was ukombozi!
" Msafara wangu umevamiwa na wanaccm wakati nikitoka kijiji cha mangucha kwenda kegonga watu wetu wameumizwa na mmoja amefariki dunia" Msg ya Heche kanithibitishia sasa hivi....
Akae pembeni kwanza huyo bunduki atafurahia matunda ya mabadiliko baadaye, nchi inatakiwa kuongozwa na mtu tajiri ambaye yeye mwenyewe ameweza kucmama kiuchumi viziri!
Haya masharti ya Urushaji wa choper mbona yanakuja wakati huu ambapo kampeni zinaanza kwani kabla ya hapo hawakuwepo wenye kuruka na choper kama vile akina Nyaga Mawala, Bob Sambek,Ndesamburo n.k!
Unaposema kuvunjarekodi unapaswa kulinganisha matukio ilikuonesha kuzidiana kwa matukio hayo, ukiwa na uwezo mdogo wa kutoa habari baki kimya usilete vitu vicvyoeleweka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.