Ni mapema sana kusema CHADEMA hawatoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025 kwa kutokushiriki utiaji saini wa kanuni za maadili ya uchaguzi wa 2025 uliofanyika leo tar 12 April.
Tarehe hii haipo kisheria na hakuna mahala inasema utiaji sahihi ufanyike muda gani kabla ya mchakato wa uchaguzi. Ingawa nina...
Okey fine, mimi ushauri wangu utakuwa tofauti kidogo: mimi kama ni wewe kwa kuwa nafahamu tofauti ni 200k tu, then maswali ya kwanza ya msingi kabla sijafanya uamuzi ni haya yafuatayo:
1. Je mkataba wa kazi huko uendako na wa hapa unatofauti, i means job security ya muda mfupi ipo?
2. Je...
What makes you think all CRDB Bank customers received the same email?
for-estance If I say, the scammer sent mail to you and other randomly recipient? Can you prove me wrong?
Generally Makonda is very smart, na katika hili amefanikiwa sana!
Mimi na wewe ambao tupo mbali na Arusha tunaweza tusi-i-feel hii impact, but kwa kifupi:
Makonda katumia influential power yake kufanya hiki kitu kikawezekana, ukiacha gharama ndogo ambayo wame-lipia labda mafuta...
right principle ni ndogo sana!
ukiishi na msaidizi wa kazi nyumbani vizuri ukamfanya kama familia yako, kwa kiasi kikubwa ataishi vizuri na wewe na familia yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.