Recent content by GanaJr

  1. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Naombeni tofauti ya hizi kozi mbili

    Asante sana mkuu.
  2. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Naombeni tofauti ya hizi kozi mbili

    Wakuu natanguliza shukrani kwenu. Naombeni mnipe tofauti ya hizi KOZI mbili ambazo ni 1.Barchelor of arts in community development 2.Barchelor of community development Hizi KOZI mbili zinatolewa kwenye vyuo viwili tofauti moja chuo cha ardhi na nyingine ni SUA. Naombeni mnisaidie utofauti...
  3. GanaJr

    JamiiForums Tanzania kazini kwangu nimeporwa elfu 20 katika begi dogo

    Samehe tu.
  4. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

    Wana Tabora boys wenzangu mpo humu ..The head of Tanzania.
  5. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wana Simba tusikate tamaa timu iko vitani bado

    Mimi ni shabiki wa Simba tusahau kuhusu ubingwa ..Timu inaongoza kwa tofauti ya goli moja afu unacheza show game..Yanga watajibebea makombe mpaka wachoke wenyewe..Injinia ni mkali sana kwa wachezaji wanaokuwa wanahujumu timu, Angalia kilichomtokea Mukoko Tonombe kwenye fainali kule...
  6. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Dkt. Faustine Ndugulile kwa lipi?

    Kwenye vifurushi vya mitandao ya simu huyu jamaa aliharibu kabisa.
  7. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wauza mbogamboga ndiyo wanawake wa kuoa

    Hawa viumbe hawatabiriki kabisa.
  8. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii imetoa
  9. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Naona tukio la kishirikiana waziwazi, hali hii inanitisha sana

    Nenda na viongozi wa dini wakaliombee hilo eneo.
  10. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

    Red card Al Hilal
  11. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba wameiga idea ya Wiki ya Mwananchi

    Tafuta hela acha chuki.
  12. GanaJr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimegundua Bahati Ina mchango mkubwa kwenye Maisha yetu

    Bahati lazima uipambanie haiwezi kuja kirahisi inabidi mtu awe anajituma kwenye kila kitu mfano hapa mtaani kuna jamaa hapa mtaani kwetu yeye humwambii kitu kwenye kubeti na mwezi wa nne mwaka huu alishinda million 60+ saivi ashakuwa mtu mwingine kabisa.Kwahiyo inabidi kupambana wakati mwingine...
  13. GanaJr

    JamiiForums Tanzania Kwanini watusi wanataka kutambuliwa Tanzania?

    Eneo ninaloishi mtendaji wa kata ni mtusi.
  14. GanaJr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wachimbaji waliofariki Mgodi wa Dhahabu Simiyu waliingizwa kwenye mashimo kinyemela

    Mtoa maada yawezekana na wewe ulikuwa unamiliki mashimo hapo ila kwakuwa ulikuwa muhanga ndo umekuja kutoa siri za wenzako.
Back
Top Bottom