Recent content by gambalama_deo

  1. gambalama_deo

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo lushoto tanga , nije mwanza kwimba,misungwi, ilemela au nyamagana, idara sec.
  2. gambalama_deo

    Naomba waliopita chuo cha ufundi veta kipawa katika fani ya ufundi simu waje kunipa muongozo

    Kama title inavojieleza , naomba waliopita chuo cha ufundi veta kipawa katika fani ya ufundi simu waje kunipa muongozo juu ya ubora wa kozi.
  3. gambalama_deo

    Natafuta mchumba( mwanajeshi)

    Noted
  4. gambalama_deo

    Natafuta mchumba( mwanajeshi)

    Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
  5. gambalama_deo

    Mashindano ya Drafti kitaifa

    Issa mamba anachukua hiyo, kijana wa mangwelele huyo[emoji122]
  6. gambalama_deo

    Mashindano ya Drafti kitaifa

    Mwaka huu nimepitwa ila Ahsante San mtoa updates vipi nusu fainali Nani n Nani wanakutan?
  7. gambalama_deo

    Taja walimu wa Physics Tanzania ambao wapo vizuri

    Engineer deo fantastic physics teacher
  8. gambalama_deo

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo lushoto Tanga nije dar kigamboni au wilaya yoyote dar idara secondary physics
  9. gambalama_deo

    Simba alikataa ofa na kuwakebehi Azam. Je, Azam kalipa kisasi kwa kuipa yanga dau nono?

    Nam nichangie kidg, tunaposema mo anamiliki 49% za hisa za klabu y Simba ,ambazo thamani yake 20 billions , tukumbuke wanachama wa simba wanamiliki asilimia 51% za hisa ambazo kimahesabu ni 20.8 billions , hivyo bas naomba tuthamishe klabu ya Simba kwa 40.8 billions na sio Kama wengi wanavyosema...
Back
Top Bottom