Recent content by Gamalak

  1. Gamalak

    Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

    Wadigo wanausemi wao ,Usinene ukamara , kiufupi kwenye Dunia hii Usimalize maneno weka na Akiba
  2. Gamalak

    EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

    Wameonyesha mwanga kwa kweli ,Kuna mengi mazuri yanakuja
  3. Gamalak

    Nilienda pale UDSM kusoma shahada ya uzamili nikiwa na kiburi cha kazini

    Maisha Ni kuishi na kujifunza ,Kuna kuishi Kisha ukajifunza na kunakunifunza Kisha ukaishi ,Jambo jema ni kujichunguza na kujitathmini hii itakusaidia kuona mapungufu yako na kujisahihisha ,Japo wengi huwa hawapendi Kujikosoa au kukubali mapungufu yao ,ndomnaa kujifunza kwao na kujisahihisha...
  4. Gamalak

    Iko wapi amani ya maisha yangu?

    Naam Mkuu hiyo ndio kanuni ya Asili inavyofanya kazi na ukielewa hili hutaumiza kichwa kujiuliza kwanini hili au kwanini vile ,bali utakabiliana na hali na kutafta ufumbuzi na wakati mwingine ufumbuzi pekee unakuwa na kukubaliana na hali na kujifunza kuishi kwa hiyo hali na kuizoea, kila kitu...
  5. Gamalak

    Iko wapi amani ya maisha yangu?

    Mafanikio ni kama maji yanayotiririka ,hayaji kwa utulivu ,yanakuja kwa kasi na yanamkusanyiko wa takataka nyingi,ndomana matajiri wanaongoza kwa kukosa amani na masikini wanaongoza kuwa na amani.
  6. Gamalak

    Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

    Al hamis inatawaliwa na sayari ya mushtar /jupiter ambayo inahusika na maswala ya mafanikio na bahati na kipato
  7. Gamalak

    Tafadhali Rais Samia, Kikeke apewe Ukurugenzi TBC pengine ataleta mabadiliko

    Tbc ilikufa toka walivyomuondoa Tido mhando ,Labda akiletwa kekeke maiti inaweza fufuka ,Ila sidhani hilo lkitawezekana maana pale hatakiwi mtu mwenye mawazo chanya
  8. Gamalak

    Tubadilike: Aibu sana baba wa familia kuwa mchoyo wa vyakula

    Tatizo mkuu watu humu wanajifanya kama hela sio shida kwao ...yaani inateremka tu ...
  9. Gamalak

    Tubadilike: Aibu sana baba wa familia kuwa mchoyo wa vyakula

    Uko sahihi sana Mkuu,Wengi huwa hawabebeki kabisa ,Ila humu kila mmoja anajifanya malaika ,(hawana dhambi) wanahisi haya mambo ni rahisi ,Hawajui familia inapoongezeka basi na majukumu yanaongezeka ,kwa maisha ya dar ,hivi uwe na watu 10 kwako ,Asubuhi hivyo vitafunwa ni kiasi gani bado mchana...
  10. Gamalak

    Nimechoka kupokea wageni

    kabisaa hili nakuunga mkono ,wacha wakuone una roho mbaya lakini yako yanakuendea ,Saidia kwa kiasi unachoweza
  11. Gamalak

    Nimechoka kupokea wageni

    kabisa mimi haya nimeona kwa mzee wangu ,alivyokuwa na pesa zake watu walikuwa hawakauki nyumbani ,ila baada mzee kuyumba mpaka bi mkubwa ana lalamika hakuna anayekwenda hapo home,mimi mpaka nimekuwa na maisha yangu huwa sipendi mazoea na ndgu na hasa mnaotaftana baada ya kuwa na maisha ya...
  12. Gamalak

    Nimechoka kupokea wageni

    kabisa mkuu wala si uwongo ,shida ya watu wengi kutaka kujifanya wema
  13. Gamalak

    Nimechoka kupokea wageni

    Mkuu hili kama halijakufika au kumfika mtu wa karibu unaposema watu hawatakuelewa na kauli zao zitakuwa acha roho mbaya ,ila hawajui wema ukizidi sana ni hatari maana unaweza jitoa kwa watu matokeo yake hao hao uliojitoa kwao wasione na unapoyumba wakawa wakwanza kukucheka
  14. Gamalak

    Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

    Mkuu walikuja kutembea kabla ya ramadhani Ila jana nimemsikia wife mwenyewe akisema wataftie nauli waondoke ,maana ningesema mimi ningeonekena staki ndgu wa wife ,maana washakuja wengi miyayusho na huwa namwambia wife huyu simtaki arudi hapa kutokana na Tabia zake , Sasa huyu mwingine...
  15. Gamalak

    Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

    mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake...
Back
Top Bottom