Maisha Ni kuishi na kujifunza ,Kuna kuishi Kisha ukajifunza na kunakunifunza Kisha ukaishi ,Jambo jema ni kujichunguza na kujitathmini hii itakusaidia kuona mapungufu yako na kujisahihisha ,Japo wengi huwa hawapendi Kujikosoa au kukubali mapungufu yao ,ndomnaa kujifunza kwao na kujisahihisha...
Naam Mkuu hiyo ndio kanuni ya Asili inavyofanya kazi na ukielewa hili hutaumiza kichwa kujiuliza kwanini hili au kwanini vile ,bali utakabiliana na hali na kutafta ufumbuzi na wakati mwingine ufumbuzi pekee unakuwa na kukubaliana na hali na kujifunza kuishi kwa hiyo hali na kuizoea, kila kitu...
Mafanikio ni kama maji yanayotiririka ,hayaji kwa utulivu ,yanakuja kwa kasi na yanamkusanyiko wa takataka nyingi,ndomana matajiri wanaongoza kwa kukosa amani na masikini wanaongoza kuwa na amani.
Tbc ilikufa toka walivyomuondoa Tido mhando ,Labda akiletwa kekeke maiti inaweza fufuka ,Ila sidhani hilo lkitawezekana maana pale hatakiwi mtu mwenye mawazo chanya
Uko sahihi sana Mkuu,Wengi huwa hawabebeki kabisa ,Ila humu kila mmoja anajifanya malaika ,(hawana dhambi) wanahisi haya mambo ni rahisi ,Hawajui familia inapoongezeka basi na majukumu yanaongezeka ,kwa maisha ya dar ,hivi uwe na watu 10 kwako ,Asubuhi hivyo vitafunwa ni kiasi gani bado mchana...
kabisa mimi haya nimeona kwa mzee wangu ,alivyokuwa na pesa zake watu walikuwa hawakauki nyumbani ,ila baada mzee kuyumba mpaka bi mkubwa ana lalamika hakuna anayekwenda hapo home,mimi mpaka nimekuwa na maisha yangu huwa sipendi mazoea na ndgu na hasa mnaotaftana baada ya kuwa na maisha ya...
Mkuu hili kama halijakufika au kumfika mtu wa karibu unaposema watu hawatakuelewa na kauli zao zitakuwa acha roho mbaya ,ila hawajui wema ukizidi sana ni hatari maana unaweza jitoa kwa watu matokeo yake hao hao uliojitoa kwao wasione na unapoyumba wakawa wakwanza kukucheka
Mkuu walikuja kutembea kabla ya ramadhani Ila jana nimemsikia wife mwenyewe akisema wataftie nauli waondoke ,maana ningesema mimi ningeonekena staki ndgu wa wife ,maana washakuja wengi miyayusho na huwa namwambia wife huyu simtaki arudi hapa kutokana na Tabia zake ,
Sasa huyu mwingine...
mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.