Waziri Aweso na UDOM kuhusu maji
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuweka mpango mkakati wa dharura wa kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya majisafi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) inapatikana haraka kwa uhakika na ubora...
Salaam
Kwa waliopo SUA na Mazimbu campus kwasasa au wamepita hivi Karibu nadhan hawatashangazwa na hili.
Hiki chuo miondombinu yake imechoka Sana kuanzia ofisi, madarasa, vyoo, hostel Hadi maabara zimechoka mno
Vyoo ndo kabisa barabara nazo shida kwa kweli mazingira yake hayafanani na chuo...
Salaam!
Nipo morogoro hapa Ila asee katika ya miji niliyofika Basi Morogoro ndo wanausafiri wa umma (daladala) zimechoka sana na kuchaka na ubovu.
Baadhi ya daladala ata baadhi ya viti hamna milango haifungi vizuri Yani hii ni hatari kwa abiria.
Sijui mamlaka sinaruhusu vipi hili swala
Mamlaka...
Haya Mambo
Kuna mdau wangu alifanya interview ya Taasisi ya Elimu kibaha na juzi taasisi imefutwa maanake mchakato wao umeishia hapo
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.