Recent content by gachuru one

  1. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Naomba elimu kuhusu Soko la Madaktari wa Mifugo (BVM) nataka kutuma maombi

    Mm Nina mshikaji wangu tulimaliza wote advance miaka iyoo akachugua iyoo kozi asee semester ya kwanza tu akadisco mwaka wa kwanza akarudi maskan ingawa mshikaji alikuwa ni mpiga msuli lakin alilabwa kichwa ........kiufupi iyoo kozi ni konyo Kama inataka kuisoma jipangeeee
  2. gachuru one

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl njoo tubadilishane vituo vya Kaz njoo mwanza buchosa nije mkoa wa pwan halmashauri yoyte *Idara ya secondary masomo ya sayans *Pesa ya usumbufu/allowance kiasi Cha 1.5M itatolewa *Kama uko serious nicheki
  3. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Inasemekana hii ndio gari nzuri ya kuanza nayo maisha.

    Gari nzuri
  4. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Kubadlishana kituo

    Kwa niaba njoo mwanza buchosa nije mkoa wa pwan sehem yoyte idara ya secondary
  5. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Ipi inafaa zaidi kwenye rough road maana mm nipo sehem ambazo hakuna lami
  6. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hello, wadau naomba msaada wa mawazo maana mm sio mtaalamu wa magari Ila Kuna magari mawlili yamekuwa yakinivutia sana ambayo ni Raum pamoja na IST zenye cc 1490 ipi nzuri Kati izo mbili kwa maana ya ubora,upatikanaji wa vipuri kwa sababu mm ruti zangu nyingi ni za rough road ........nipeni msaada
  7. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya huyu dogo atachaguliwa special school

    Uyo kwenda shule maalum hawez nakum uka mwaka juz Kuna dogo alipiga one ya nane alikuwa na CAA ya PCB akachagukiwa shule ya kata Tena mpya
  8. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

    Elimu
  9. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Uhamisho wa watumishi kubadilishana kituo cha kazi

    Njoo mwanza aje mkoa wa pwan sehem yoyote masomo ya science
  10. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

    Nafuatialia majibu
  11. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Kingamuzi bora ni kipi? DSTV, AZAM, STAR TIMES, ZUKU

    Anaejua bei ya Azam full ni bei gan ikiwa mpya
  12. gachuru one

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Naitaji iyoo fan mkuu
  13. gachuru one

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vitu vifuatavyo vinauzwa Dar Mbezi

    TV kula laki 350000
Back
Top Bottom