Wadau habari.
Ninaomba kujua ,kwa wenye uzoefu wakutumia PRINTERS AMBAZO NI 3 IN 1, budget yake kuanzia Tsh 500000/= mpaka 1,000,000/= INK JET (ZENYE KUTUMIA WINO) ni brand gani nzuri kwa matumizi ya stationery.
Soma post ya kwanza juu ya chombo hiki ,sio china tu hata marekan wanachombo chao kilicho dondoka,ni ajali kazini sie wabongo tumetengeneza nini,tujiulize sio ku kashfu wachina
Biblia hiyo hiyo inatuambia tusiwe wapole kupita kiasi,maaskofu wameandika ukweli mtupu.
Eti kwakua waliyo yaandika niya ukweli yanagusa moja kwa moja nani mambo yanayoeleweka. Huyu jamaa ajibu hoja ,asiandike siasa nyiingi.
Umeongea ukweli mtupu hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Ukiwa nao utajua watu na madeko kibao kumbe ni wizi mtupu.
Mtusamehe kinamama kwa ukweli huu msiopenda ukawekwa hadharani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.