Mkuu ukipanda kisbo safari unaonfoka dar saa 12 asubuhi unafika saa moja jion au mbili mkichelewa sana, lodge nzuri za bei ya elf 15 zilizo karibu na stand ni Zimbabwe, goodnight au byb lodge, maeneo ya kanyenye ni kwihala lodge, white sarkozy, ck etc kutoka stand kwenda ofisi ya mkoa wa mkoa ni...
Kama card yako ya ATM hukumpatia mtu siku hiyo, huenda ikawa ni tatizo la network(hizo debit and credit hafu ika debit tena) au ikawa ni ciber crime kuna bank zina EMV chip hizi ziko more secured so far najua EXIM ndo wanazo hizo cjajua other banks kama ni cover crime sijui utaratibu umekaaje...
cash not dispensed ni jambo la kawaida kwenye ATM nyingii ni network error lakin pesa huwa haipotei sema inahitaji uvumilivu kwa kawaida na utaratibu ulivyo kwa mabank yote ikitokea situation ka hiyo inatakia pesa irudi ndani ya mwezi mmoja coz umekatwa kwa bank ingine ila ingekua ATM ya exim...
Rais muislam, makamu muislam, mkuu wa usalama muislam, hivi sisi mnaotuita makafiri tunawezaje kuwaonea? au Mungu we nu Allah ni dhaifu kwa Mungu YESU hahahahahahaha JEHOVAH, Bwana YESU ATUKUZWE WAPENDWA
Wanajamvi,
Tulio wengi humu naamini tuna business cards, inapotokea umempa jambazi business card yako bila kujua kama ni jambazi, Na siku ikakutwa imetupwa kwenye eneo la uhalifu, je, utauepuka vipi mkono wa sheria?
Naogopa kutoa busness card ila kwa nature ya kazi yangu nalazimika kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.