papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Mchezo wa kuigizwa kati ya Kadinali Pengo ,Askofu Gwajima na Serikali na kuondolewa muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni mna somo kubwa sana ambalo Mufti Simba wa BAKWATA na Shekh wake wa mkoa wa Dsm Alhadi walizingatie kama watakuwa na sifa ya ULUL ALBAB (wenyekutumia akili) kama isemavyo quran 2:164.
Askofu Pengo alitetea waumini wa Kikristo wawe huru na maamuzi ya katiba wakati viongozi wenzake wameshukiwa na roho mtakatifu kuwaelekeza wapige kura ya hapana.
Akaonekana Pengo msaliti Gwajima akamnanga kwa matusi ya hadharani Pengo akashitaki polisi, polisi wakambembeleza Gwajima afike kutuoni ,akatekeleza wakamuhoji akavunga kuzimia pilikapilika za kumpeleka na kumuhamisha hospitali zikafanyika jaribio la kumtorosha likafanyika chini ya ulinzi wa polisi watuhumiwa wakakamatwa na silaha bastola na pasi mbili za kusafiria za mtu mmoja majina tofauti Gwajima.
Pengo akatoa msamaha kabla ya kesi kusikilizwa polisi wakamuachia Gwajima, mtuhumiwa alietaka kutoroshwa kwa kutumia silaha kwa dhamana isiyokuwa na masharti yoyote.
Hapo hakuna dai lolote toka serikalini, wakristo wanachanganya dini na siasa, jaribio la kutorosha muhalifu na silaha hospitalini waliofanya hawajaitwa magaidi.Mchezo umeishia hapo.
Shekh Ponda aliishutumu BAKWATA kuuza mali za Waislam ikiwemo kiwanja, BAKWATA wakashtaki polisi kama alivyoshtaki Askofu Pengo.Polisi walichukuwa bunduki, mabomu ya machozi na pingu wakajaza shehena ndani ya gari kwenda kumkamata Shekh Ponda na akapalekwa rumande pingu mikononi na miguuni.Akanyimwa dhamana mpaka mwisho wa kesi yake takribani mwaka mzima.
Shekh Muselem, Shekh Faridi na wenzao leo hii wanaozea rumande wanachodai wao kwa wananchi wa Zanzibari ni kupiga kura ya hapana katka muungano kama jinsi baraza la maaskofu wanavyodai kupiga kura ya hapana katika katiba na sababu kubwa mahakama ya kadhi imeinajisi katiba na nchi hii Nyerere alikwisha ikabidhi kwa Maria mama wa Mungu.
Soma kitabu cha padri Felician Nkwela.JK Nyerere nabii Musa wa kisiwa cha amani Tanzania ukurasa wa 8.
Baraza la Wakristo mko sawa kabisa tatizo liko kwa wavaa vilemba na kanzu mahodari kwa pilao za Maulidi.Linalo burudisha zaidi ni pale Jakaya Kikwete alipowabembeleza watengue kauli yao nao wakagoma mipango ya kuwakutanisha maaskofu na rais aliifanya Shekh wa BAKWATA mkoa wa DSM.
Lakini sijasikia kufanya mpango wa kumuona rais juu ya madhila wanayopata Mashekh wanaodhulimwa kwa kuswekwa rumande bila hatia.
Natumaini viongozi hawa wa BAKWATA kama hawatovaa sifa alioieleza Allah 2:171 watazinduka na kuja na tamko kwa maslahi ya imani yao na kama wakivaa sifa hiyo basi ni hasara mpaka kiyama.
Askofu Pengo alitetea waumini wa Kikristo wawe huru na maamuzi ya katiba wakati viongozi wenzake wameshukiwa na roho mtakatifu kuwaelekeza wapige kura ya hapana.
Akaonekana Pengo msaliti Gwajima akamnanga kwa matusi ya hadharani Pengo akashitaki polisi, polisi wakambembeleza Gwajima afike kutuoni ,akatekeleza wakamuhoji akavunga kuzimia pilikapilika za kumpeleka na kumuhamisha hospitali zikafanyika jaribio la kumtorosha likafanyika chini ya ulinzi wa polisi watuhumiwa wakakamatwa na silaha bastola na pasi mbili za kusafiria za mtu mmoja majina tofauti Gwajima.
Pengo akatoa msamaha kabla ya kesi kusikilizwa polisi wakamuachia Gwajima, mtuhumiwa alietaka kutoroshwa kwa kutumia silaha kwa dhamana isiyokuwa na masharti yoyote.
Hapo hakuna dai lolote toka serikalini, wakristo wanachanganya dini na siasa, jaribio la kutorosha muhalifu na silaha hospitalini waliofanya hawajaitwa magaidi.Mchezo umeishia hapo.
Shekh Ponda aliishutumu BAKWATA kuuza mali za Waislam ikiwemo kiwanja, BAKWATA wakashtaki polisi kama alivyoshtaki Askofu Pengo.Polisi walichukuwa bunduki, mabomu ya machozi na pingu wakajaza shehena ndani ya gari kwenda kumkamata Shekh Ponda na akapalekwa rumande pingu mikononi na miguuni.Akanyimwa dhamana mpaka mwisho wa kesi yake takribani mwaka mzima.
Shekh Muselem, Shekh Faridi na wenzao leo hii wanaozea rumande wanachodai wao kwa wananchi wa Zanzibari ni kupiga kura ya hapana katka muungano kama jinsi baraza la maaskofu wanavyodai kupiga kura ya hapana katika katiba na sababu kubwa mahakama ya kadhi imeinajisi katiba na nchi hii Nyerere alikwisha ikabidhi kwa Maria mama wa Mungu.
Soma kitabu cha padri Felician Nkwela.JK Nyerere nabii Musa wa kisiwa cha amani Tanzania ukurasa wa 8.
Baraza la Wakristo mko sawa kabisa tatizo liko kwa wavaa vilemba na kanzu mahodari kwa pilao za Maulidi.Linalo burudisha zaidi ni pale Jakaya Kikwete alipowabembeleza watengue kauli yao nao wakagoma mipango ya kuwakutanisha maaskofu na rais aliifanya Shekh wa BAKWATA mkoa wa DSM.
Lakini sijasikia kufanya mpango wa kumuona rais juu ya madhila wanayopata Mashekh wanaodhulimwa kwa kuswekwa rumande bila hatia.
Natumaini viongozi hawa wa BAKWATA kama hawatovaa sifa alioieleza Allah 2:171 watazinduka na kuja na tamko kwa maslahi ya imani yao na kama wakivaa sifa hiyo basi ni hasara mpaka kiyama.