Msaada: Hotel nzuri Dar

Msaada: Hotel nzuri Dar

Kwa ID kama hii ya huyu bro aje tu huku Kakakuona bar and guest house Mbagala, vyumba ni self contained, nyama choma ya kufa mtu na shuka zinabadilishwa kila wiki. It is very pocket friendly, chumba cha feni self ni 15,000 cha ac ni 20,000. na tiivii juu
 
Uende Namnaani Sinza iko poa sana hasa chumba namba 206.
 
Wakuu,

Naomba mnijuze ni hotel gani nzuri naweza kwenda kuenjoy week end hii nikiwa na totoz yangu pembeni kwa Dar?Maeneo yawe kati ya Airport,Ilala,Changombe,Survey au Kinondoni .

Msaada wenu tafadhali,Kejeli staki,niko serious kidogo

Maeneo uliyotaja utakutana na guest zenye kunguni kibao huku nje watu wanacheza kigodoro hadi alfajiri!😉
 
Uende Namnaani Sinza iko poa sana hasa chumba namba 206.

Hahaha namnani hiyo gesti ni noma,unaweza ukagongewa mkeo na wewe hupo hapohapo gesti ina vyumba karibia 100,namnani weka mbali na watoto
 
Wakuu,

Naomba mnijuze ni hotel gani nzuri naweza kwenda kuenjoy week end hii nikiwa na totoz yangu pembeni kwa Dar?Maeneo yawe kati ya Airport,Ilala,Changombe,Survey au Kinondoni .

Msaada wenu tafadhali,Kejeli staki,niko serious kidogo

Nenda Geza Lodge ipo maeneo ya mjimwema Kigamboni ni mwisho wa matatizo.
 
Kebby ni mwenge mbele kidogo ya nakiete pharmacy kabla hujafika bamaga mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom