Recent content by gabriel Heinze

  1. gabriel Heinze

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Uko sahihi huyo hajui chochote kazi yake ni kushabikia
  2. gabriel Heinze

    Wanawake wanauma, asikwambie mtu

    Ni kweli inauma sana, hasa ukiharibu wewe ila kama kaharibu manz huwa inachukua mwez kuwa sawa hapo ka ulikuwa na malengo naye.
  3. gabriel Heinze

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Bro, Trump kasema Iran ni taifa lenye nguvu kubwa sana. Leo kaacha propaganda ninaamini hata wewe utakubali ila ulikataa. Bro hii dunia kuna namna inaendeshwa ni vile waAfrika tumekataa kutoka nje ya box lao. Na kasema kama wataachwa peke yao Israel anafutika. Swali langu kwako, tufanye vile...
  4. gabriel Heinze

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Bro point yangu iko hapa, taarfa zote za vita ya Urusi zilikuwa hewani. Niambie taarfa gani za USA ISRAEL, zipo hewani. Wameamua kucheza chini ndo mana huoni chochote kilichoharibika kwao, propaganda ndo inaingia hapo. Iran kila siku anasema nani kafa au nani kaumizwa, hebu wewe nambie lini...
  5. gabriel Heinze

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    jina lako la ubatizo ni nani ?
  6. gabriel Heinze

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    P Propaganda huwa inashinda kila siku bro, CCM na USA tofauti yao ni ndogo. Unaweza usione utofaut kwa sababu umechagua upande. Ni kama umwambie mwanaccm chama kinapotea.
  7. gabriel Heinze

    Nampenda sana Najma Paul

    Wanachosha na wanapenda kudeka, ungeshaleta uzi wa kuwakana. Since 2013 mpk 2024 nikasema inafu iz inafu.
  8. gabriel Heinze

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Sema sijui tupoje mtu kaomba jina la dawa watu wanaleta ushauri, ka hujui kaa kimya kama unaijuq tajq jinq nq bei, sio haikomolewi au usishindane. Ndo mitihani tunavyofeli.
  9. gabriel Heinze

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nilijua we ni mtu wa nguvu utasaidia. Ahsante mkuu
  10. gabriel Heinze

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Coco mambo vp, kuna story ya jamaa anajiita Patrick ka unayo link yake naomba 🙏
  11. gabriel Heinze

    Nina zaidi ya kilo 100 na nina umri wa miaka 19: Nifanyeje?

    Rudia na fanya ukiamka tu kabla hujala chochote 2min x 4, jioni same ikipita mwezi leta mrejesho, ukimbie kidogo just for warm up !!!
Back
Top Bottom