Bro, Trump kasema Iran ni taifa lenye nguvu kubwa sana. Leo kaacha propaganda ninaamini hata wewe utakubali ila ulikataa.
Bro hii dunia kuna namna inaendeshwa ni vile waAfrika tumekataa kutoka nje ya box lao. Na kasema kama wataachwa peke yao Israel anafutika.
Swali langu kwako, tufanye vile...
Bro point yangu iko hapa, taarfa zote za vita ya Urusi zilikuwa hewani. Niambie taarfa gani za USA ISRAEL, zipo hewani.
Wameamua kucheza chini ndo mana huoni chochote kilichoharibika kwao, propaganda ndo inaingia hapo. Iran kila siku anasema nani kafa au nani kaumizwa, hebu wewe nambie lini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.