inanikumbusha wana wa israel walivyo mkataa masiha (alikuja kwao wakamkataa bali wte walio mpokea walifanyika wana wa Mungu na alifanyika kuwa mwokozi wa ulimwengu) Alikuwa kwao wakamkata watanzania wakampokea nu Mungu ameweka ndani yake uvumilivu utulivu na amani watanzania watainuliwa juu...
watanzania tunapenda malumbano sana tushaambiwa mamlaka ya juu inahusika hatutaki kuwauliza tunamshupalia lowasa hivi tumelogwa?mwenyekiti wa kamati alikuwa na nafasi ya kumuhoji lowasa kipindi hicho hakumuhoji kwa alicho dai kumlindia heshima leo anataka mdahlo ili mdahalo ufanye nini au uamue...
watanzania bhana mbatia kujibu hizo tuhuma mnaona nongwa hamkumbuki kama ni wamoja na wanalinda umoja wao?mboe kaongea kwenye mkutano na kuonyesha msisitizo wa umoja wao katumwa mbatia mbona nyie mmemtuma slaa kwani yeye ccm?mwaka huu ni mwendo wa farasi
tu paka mkome
napiga supu na chapati hapa najenga afya na Mungu anijalie ili tar 25 october niwe sehemu ya mabadiliko (Tanzania itajengwa na wenye moyo)
Mungu ibariki Tanzania ,Mungu Ibariki Afrika Mungu mBARIKI LOWASA
ninamashaka sana na Dr Mwakyembe nahisi anataka kumvua nguo mwenyekiti wake,yangu macho lakini pia watueleze habari ya twiga kupanda ndege,meno ya tembo,madawa ya kulevya,mabehewa yalio nunuliwa chini ya kiwango,tegeta escrow nk wasishikilie richmond peke yake.
HAWA NIKUWAKATA TU MAANA HAKUNA...
Kwa wenye uelewa mdogo hawawezi kuelewa maana yake nini ila mkuu wakaya kaelewa alicho kisema Lowasa endeleeni na figisu figisu zenu lazma twende ngurdoto arusha.
Tanzania: ICC to Establish Regional Chapter in Arusha City
http://allafrica.com/stories/201302180128.html
Kwa wenye uelewa mdogo hawawezi kuelewa maana yake nini ila mkuu wakaya kaelewa alicho kisema Lowasa endeleeni na figisu figisu zenu kama halazma twende ngurdoto arusha.
Tanzania: ICC to Establish Regional Chapter in Arusha City
http://allafrica.com/stories/201302180128.html
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.