Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,188
Mtu ambaye hawezi kujua matatizo ya wanaichi wake hatufai,twende na Dr Mkangara jimbo la kibamba
Huyo Mkangara atajuta kumjua Mnyika. Mpaka sasa ushindi wa Mnyika ni wa asilimia 80 na hapo bado hajaanza kampeni. Tusubiri hiyo October usisahau kurudi kwenye uzi huu huu kutupa feedback.
Tiba