Ngome za CCM zimebaki wapi na ngapi?

Ngome za CCM zimebaki wapi na ngapi?

mungu atupe uzima tuwaondoshe viumbe hawa kwenye ramani ya siasa baada ya miaka yao 54 kuisha 25 Oct,
Ambapo kuanzia hapo wataanza kuwa wapinzani kabla ya kuwaelekeza kibla na hatimaye hapo 2020 na kuwafuta
katika ramani za siasa duniani,ibaki historia kwa watoto wetu kwamba kulikuwa na chama kinaitwa fiCCM
 
mara hii lazima watazisoma hizo namba zao ,maana hakuna anyewajali ccm zaid ya kuwapuuzia tu

Tanga ni zaidi ya aibu,kumbe mkutano wao watu walimfuata Diamond!!! Lowassa katumia busara kuahirisha mkutano la sivyo pangetokea maafa makubwa japo team magamba panapotokea vifo wanachulia kukubalika kwa mgombea wao. Nasikia Morogoro walifunga geti ili watu wasitoke baada ya show ya Diamond.
 
Ccm wawe na ngome wazitoe wapi!? Ccm kama chama tena chama chakavu hakina ngome, kimebaki na majengo tu. Tanzania ni ngome ya watanzania. Kama ccm wangekuwa na ngome wasingehangaika kwa gharama kubwa kiasi hiki kupiga kampeni uchwara!!!
Mikoa waliyojivunia imeshaamka na sasa watahitaji kubangaiza tu hzo kura za kufutia machozi. kwaheri ccm, mwisho wako umefika.
 
Ukweli ni kua Morogoro hasa Kilosa,Vijijini na Morogoro mjini bado Ccm wana nguvu sana,ila kwa Kilombero na Mahenge kule Ccm ni kama imefutika,nadhani kwa majimbo hayo hata watu wake walibahatika kuelimika mapema sana ku compare na majimbo mengine ya Morogoro huu ni ukweli ulio wazi
 
Ukweli ni kua Morogoro hasa Kilosa,Vijijini na Morogoro mjini bado Ccm wana nguvu sana,ila kwa Kilombero na Mahenge kule Ccm ni kama imefutika,nadhani kwa majimbo hayo hata watu wake walibahatika kuelimika mapema sana ku compare na majimbo mengine ya Morogoro huu ni ukweli ulio wazi

Umechambua vizuri sana. Kuna mkoa pia wa ushirombo,huku UKAWA wanatakiwa waongeze nguvu sana,wakazi wa huku wengi wao hawana elimu.
 
ccm yao matusi/kejeli sisi ukawa siasa safi na kutangaza sera
 
imebaki lumumba kwenye ofisi za ccm ila usiku wapo wanao geuka na kuwa ukawa!
 
kambi moja tu ya ccm iliyo baki ni watoto na wake/waume wa viongozi wao hata magufuli tayari tumesha vunja ngome yake maana mkewe ni timu ukawa
 
Shetani anaposhindwa vita ya kiroho huwa anakuja waziwazi ktk vita ya kimwili na ndo unakuwa mwisho wake. Kama unaishi kwa mtu anajilipuwa na kukwambia waziwazi naomba utoke kwangu bila chenga. Ccm wako mwishoni kabisa
 
Mkuu watu wa Tanga hawa mpendi Magufuli kabisa. Baada ya kutoka kwenye ule mkutano wake wa kampeni watu wa Tanga walisema huyu bwana hatatufaa kwa lolote. Yaani hilo sio jambo la kuuliza. Wanasema ni Bora hata CCM wange mchagua Mizengo Pinda kuliko huyo jamaa mwenye uso wa Mbwa. Nuksi tu.

Hii kali
 
mungu atupe uzima tuwaondoshe viumbe hawa kwenye ramani ya siasa baada ya miaka yao 54 kuisha 25 Oct,
Ambapo kuanzia hapo wataanza kuwa wapinzani kabla ya kuwaelekeza kibla na hatimaye hapo 2020 na kuwafuta
katika ramani za siasa duniani,ibaki historia kwa watoto wetu kwamba kulikuwa na chama kinaitwa fiCCM

Raha iliyoje?😆😆😆😆
 
Najaribu kuzitafuta ngome za CCM nchi nzima nimekosa kabisa! Nikisema ccm Dodoma nakutana na LOWASSA tu, Singida kwetu-LOWASSA,Tanga-LOWASSA,Zanzibar-LOWASSA tu,Mtwara na Lindi-LOWASSA tu,Songea-LOWASSA jamani,Tabora-LOWASSA anatisha, Katavi-LOWASSA rais,Bukoba-LOWASSA.


Duh wapi CCM jamani? Imekuaje tena na tingatinga lao?
 
Back
Top Bottom