Recent content by G5crank

  1. G5crank

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye nyimbo za Pauline zongo zote naomba msaada wakuzipata tafadhali.
  2. G5crank

    Zitto: Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya, sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani

    Mchonyo wa marehemu babu yako alielala huko mwandiga: Mbwa kama hawa wakina zitto ndio wanaowasababisha watu waende jela bila kukusudia. Hebu imagine anaongea upumbavu huo mbele yako utaacha kumlapua kofi au kumtemea kohozi.
  3. G5crank

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Vituko kama vipi mzazi?
  4. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Unasema vifo vimepungua kwa takwimu tunazoletewa na BBCSWAHILI na dadaako Zuhura Yunusi beberu wa kizanzibari. Zinaaminika vipi hizo takwimu zao kama ni za kweli? Hata marekani wanakaa wanajinadi kama democrasia ipo nchini mwao na haki za binaadamu lakini wamarekani wenyewe wakihojiwa...
  5. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Kwa kusema hivi inamaana kama hapo zamani watu walikuwa hawafi? Jiulize mwaka jana umehudhuria misiba mingapi na sababu zipi za hao watu kufa na mwaka huu pia umehudhuria misiba mingapi na sababu ni zipi za vifo hivyo.
  6. G5crank

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😂😂😂🤣😂 Hizo ni code pia braza najua nini nafanya.
  7. G5crank

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Run 36 sasa
  8. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    In short nina siku 4 toka nimetoka kitale sasa sijui kama count ya kitale unaijua ipo upande gani mwa africa. Alafu unaemuona anataka kutetea hoja yake kwa lugha ya kibeberu Basi huyo ni masikini wakutupwa wa mwili akili hata kiheshima. Ukishaijua wewe maana ya WHO Inatosha haya tuondoleeni...
  9. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Wewe unaejua na mwenye akili tafuta dunia yako ukaiishi au ungana nao unaowaona wenye akili wenzako wanaotoa takwimu kilasiku ya maongezeko ya wagonjwa kwao nitakuona pengine unamaamuzi yakiume. Lakini kuendelea kuongea ushubwada humu alafu unatumia usafiri wa daladala na huduma zingine za...
  10. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Corona ni biashara tu kama ilivyo biashara zingine lengo lilikuwa nikutengeneza gonjwa litakalo idhuru Asia na Africa pamoja na bara la ulaya kwa nchi ndogo ndogo huku G7 wakidhani aitawafikia changamoto inakuja kuona mpaka wao imewagusa na wanahangaika kuuondoa nchini mwao na wakifanikiwa...
  11. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Acha kukariri upumbavu uanaobadilika kilasiku. Umehama kwenye hoja ya msingi umeingia kwenye science na madawa ya ARV. Jibu kwa hoja tatizo kushikiwa kwenu akili na kuudharau utu wenu mukiambiwa siku dawa ya corona ni manii za mjusi lazima mpigwe chanjo mutakubali nakushadadia.
  12. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Hata ukiona kama limeachwa jua ni hatua nayo maana kama jambo halina manufaa kwako ya faida au hasara yanini udili nalo sasa?😂😂😂😂
  13. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Sijapata kuona mtu bogaz kama wewe hivi tanzania ndio imekuwa ni kikwazo cha dunia kuiondoa corona sindio?🤣🤣🤣🤣🤣 Hebu jaribu kufikiria kama wanaume tunavyofikiriaga bana sio unafikiria kama wanaodamshi.
  14. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Soma vizuri sana na kwa makini comment yangu nadhani utanielewa tu ni nini namaanisha! Alafu ugonjwa wowote ule uwe wa maambukizi au wakurithi au utakaokupata wowote ule uwa auchagui wakumuuwa kama ni mtoto au mkubwa au umesahau mwaka jana america wale watoto mapacha wa miezi 7 waliokufa na...
  15. G5crank

    Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

    Kwahiyo na hayo mataifa yanayotoa takwimu kila uchwao wamejikinga vipi na corona au maambukizi kwao ndio yamepungua kwa kutoa takwimu na sisi tusio toa ndio tunaangamia au?
Back
Top Bottom