Hatuko sawa kwa kila nyanja za kimaendeleo na hata kimipango na mikakati ya kimaendeleo. So wao wamuondoe au wasiomuondoe sisi inatuhusu nini?
Our plan as a nation ni kuwa na ubalozi Israel kwa manufaa yetu kama jinsi wao wanavyomuondoa balozi wao kwa manufaa yao pia.
Basi tafuta namna ambayo utaona ndege hizo zinakusaidia, ukishindwa achana nazo zitawasaidia wengine walioona uwepo wa hizo ndege kuwa ni fursa mojawapo kwa maendeleo yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.