Acheni wastaafu watumie ivyo vichenchi, je izo ela wanazogawana na kupandishiana mishahara na posho Kwa Siri uko bungeni. Kheri wastaafu waliotumikia utumishi wa umma katika mazingira duni wapate hata huduma za afya. Na hii Kwa upande wangu naona ni kosa kuwa counted kama hasara.......
#Sauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.