Acha hizo ina maana chadema inaendeshwa na mbowe tu! Chadema ni taasisi siyo familia,maamuzi yanatokana na vikao,kauli yako ina maanisha kwamba bila mbowe chadema haita perform! Rekebisha kauli yako
Wataisoma mbele kwa mbele! yaani tarehe 28 oct,wajiandae kwa vulugu za aibu,vulugu za kumpoza El aliye mpa Baba Free Lady bil 10 ili awe mgombea wa Ukawa.
Mwaka huu wananchi wameelemika sana tena sana wanajua kuchambua mbivu na mbichi,huyo mgombea wenu anayejinyea jukwaani mtakoma naye,asiposhikwa na kisukari presha itamuua maana pesa alizopoteza ni nyingi mno.Viva magufuri
Yote yanawezekana lakini kwa kuwa mtatiro alishajitokeza na kumpongeza huyo mama kwa uamuzi wake wa busara wa kukubali kumwachia jimbo,Tunaomba ajitokeze tena kwenye facebook au hapa jf mashabiki wake tujue nn cha kufanya
Kwa system hii CDM wote ni wanafiki! Walianza na Zito Zuberi Kabwe akaitwa msaliti na mnafiki,akaja Said arf akaitwa mnafiki na msaliti,akafuata Mwenyekiti wa baraza la wazee,mzee Shilungushera akaitwa mnafiki na msaliti amekuja Dr Slaa mmemuita mnafiki na Msaliti naami hata anayefuata pamoja na...
Tunapaswa pia kujiuliza kwamba kati ya mbowe na Dr slaa nani msaliti?
Mbowe alikuwa anazungukwa na hawa wafuatao: 1. SAID ARFI-Makamu mwenyekiti-CDM
2. Dr Slaa-Katibu mkuu
3. Zitto zuberi Kabwe-Naibu katibu mkuu
Hawa wote walikuwa wanakaa meza moja kila kukicha,amebaki peke yake hii inaonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.