Huyu magu anataka acontrol vyama vyote hata vya wafanyakazi kama CWT anabingilia huyu jamaa ni kumkatalia wazi wazi vinginevyo hivi vyama vyetu huru ataviweka mfukoni na vingine tayari ameshaviweka mfukoni na kupelekea kuacha kipigania maslahi ya wafanyakazi.
Hamna kitu Tanzania hatuko serious kabisa na rais wetu kwa uteuzi huu ametuvunja moyo na nia. We are not serious at all kwahali hii maendeleo Tanzania ni baadae xna. Tulifikiri tumempata Nyerere wa pili kumbe wapi. Hii inanikumbisha nchi ya Giningi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.