UDSM chapinga kudahili vilaza, NACTE pia waipinga TCU

UDSM hawajawahi kua na vilaza hata mwaka mmoja. kama wagekua wanapokea vilaza, basi Jesca Kilaza (yule mtoto wa dakitari) asingekimbilia shamba la bibi, wakati baba, mama na familia yake kwa ujumla walikua wanaishi Dar. Angejiunga UDSM.
mwaka 2014 ulioutaja wewe, aliepata alama D mbili ambapo alama D ilianzia Makasi 30, alikua na sifa ya kwenda chuo kikuu kwa mujibu wa TCU, japo kwa mujibu wa NECTA alikua na division 4. NECTA walisema principal pass ni kuanzia alama C iliyokua inaanzia maski 40,TCU wao wakashusha mpaka alama D ili wapate wanafunzi. hivyo basi, hao mafundi cherehani waliokwenda UDSM mwaka huo kwakua walikua na vigezo vya kwenda chuo kikuu. hata hivyo, pamoja na kua walikua na vigezo, vigezo vyao havikufua dafu ktk kushindania programs za maana, ndio maana wakajikuta wanaangukia kwenye ufundi cherehani.
Wewe umekuja kuniunga mkono bila kujua, mimi nimesema four zipo ila sijasema hawakuwa na sifa, kuna watu wanakurupuka kusema walioenda UDSM wote walipata one, alafu vyuo vingine ni four, Hivi kweli one zipo UDSM tu?
Mimi ni mwanaharakati niliyejitolea kuvipigania vyuo vingine na kuweka ukweli wazi bila kujali nilisoma UDSM au sikusoma UDSM, NAOMBA KUMALIZIA KUWA UDSM KUNA WENYE ONE HADI FOUR, MFANO HAO WASHONA CHEREHANI AMBAO FIELD YAO WANAFANYIA URAFIKI TEXTILE, MWA TEXT NA MBEYA TEXT.
 
Wewe umekuja kuniunga mkono bila kujua, mimi nimesema four zipo ila sijasema hawakuwa na sifa, kuna watu wanakurupuka kusema walioenda UDSM wote walipata one, alafu vyuo vingine ni four, Hivi kweli one zipo UDSM tu?
Mimi ni mwanaharakati niliyejitolea kuvipigania vyuo vingine na kuweka ukweli wazi bila kujali nilisoma UDSM au sikusoma UDSM, NAOMBA KUMALIZIA KUWA UDSM KUNA WENYE ONE HADI FOUR, MFANO HAO WASHONA CHEREHANI AMBAO FIELD YAO WANAFANYIA URAFIKI TEXTILE, MWA TEXT NA MBEYA TEXT.

hizo four za mwaka huo zilizokua na sifa za kujiunga chuo kikuu, ulikua ukizibaddili kwenda ktk mfumo wa zamani, unapata division III. kwa mantinki hiyo, ni kama hakuna mwenye four aliyechaguliwa. hivyo UDSM hakuna four. pia hata waliochaaguliwa vyuo vingine hawakua na four.
Hta hivyo kuna utofauti wa alama za waliohaguliwa vyuo fulani na chuo kile. utofauti huu ni wa kawaida sana, ni kama utofauti wa ufaulu wa wanaochaguliwa kujiunga Taabora boys na ufaulu wa wanaochaguliwa kujiunga Milambo high school ya Tabora. ila pamoja na utafauti wa ufaulu wao, wote wanaweza na ninawahehimu sana.
 
Hakuna lolote, katika awamu tuliyowahi kua na watu wakurupukaji ni awamu hii peke yake, hasa huyu Ndalichako sijui PhD yake kama ni halali.

Nakupa mfano: Mimi kuna jamaa yangu wakati nasoma UD alikua roommate wangu, jamaa yuko vizuri upstairs alikua anasoma geology engineering na vyeti vyake viko clean kabisa cha ajabu TCU wanamtoa kwenye majina kwamba hana sifa, kufatilia wanasema alionekana kua kuna kipindi alipata admission chuo cha nje.
Sasa hivi sio vituko yaani TCU ilishindwa kujua hili hata kwa kupitia chuo ili wajue kama jamaa yuko UDSM au yuko nje?

Mfano mwingine; watu wengi waliotajwa ni foreigners kutoka Rwanda, Burundi, Mozambique etc
Hawa wametajwa kisa kwenye system ya Necta matokeo yao ya form 4 hayaonekani, yaani TCU wanashindwa kujua kama UDSM imedahili wanafunzi kutoka nje ya Tanzania eti wanafikiria kila mtu ni lazima apatikane kwenye database ya Necta, huu sio upuuzi?
Hawa watu wakati wanaomba vyuo walileta documents zao kibao na TCU wakaridhika nazo sasa leo imekuaje wakose sifa tena wengi wao wamehitimu mwaka jana
ukistaajabu ya aliyejiogopa kwa ukimya, utayaona aliyeamua kukuruka na kusema. tusubiri muvies ifike mwishomwisho, tumuone star anavyokweenda kukomboa mateka.
 
yupi huyo?
Makamu mkuu wa Chuo.
"Alisema chuo hicho kikongwe Tanzania, kutokana na kuwepo makubaliano hayo kimekuwa kinapokea baadhi ya wanafunzi ambao wanatoka nje ya nchi na akasisitiza kuwa yawezekana ndio hao ambao TCU imeshindwa kupata nyaraka zao."
 
16836687_1367829649954050_2152111161348238515_o.jpg
SIKU moja baada ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutangaza utata wa udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu, wadau wakubwa wa elimu, wamejitokeza kupinga hatua hiyo. Wadau hao ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Baraza la Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE).

Taarifa ya UDSM Kwa upande wake, UDSM kimeeleza kwamba hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyedahiliwa chuoni hapo, ambaye hana sifa za kujiunga na chuo hicho.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Florens Luoga aliliambia gazeti hili jana kuwa chuo hicho kimeweka utaratibu ambao unaweza mwanafunzi yeyote anayedahiliwa chuoni hapo, awe na sifa zinazohitajika kwa kuwa hawafanyi biashara.

“Sisi hapa ni wakali kuhusu jambo hilo, tukibaini kuwepo kwa mwanafunzi ambaye hana sifa tunamfukuza. Hatusubiri TCU iseme...hata tukibaini kuwa mtu alifanya udanganyifu na alishamaliza chuo, lakini hakuwa na sifa, tunamnyang’anya digrii tulivyompa,” alisema Profesa Luoga na kuongeza:

“Hiki ni chuo, hatufanyi biashara, sisi kazi yetu hapa ni kuandaa wataalamu na ndio maana tunakuwa wakali na makini kuhakikisha wanafunzi tunaowachukua, wote wanakuwa na sifa stahiki”, alisema Profesa Luoga alisema uhakiki ambao umefanywa na TCU na kutoa idadi ya wanafunzi 224 wanaosoma chuoni hapo, kuhakikisha wanawasilisha ushahidi wa nyaraka zao, wanaufanyia kazi, kwani kuna uwezekano tume hiyo haina taarifa kuhusu programu zinazoendeshwa na chuo hicho.

Alifafanua kuwa kuna baadhi ya programu maalumu, ambazo Serikali ya Tanzania imeingia na nchi nyingine kwa ajili ya kuendesha programu maalum.

Alisema kozi hizo zimekuwepo chuoni hapo kwa muda wa miaka 40 sasa na zinafanywa kutokana na makubalino ya Serikali ya Tanzania na nchi husika.

Alisema chuo hicho kikongwe Tanzania, kutokana na kuwepo makubaliano hayo kimekuwa kinapokea baadhi ya wanafunzi ambao wanatoka nje ya nchi na akasisitiza kuwa yawezekana ndio hao ambao TCU imeshindwa kupata nyaraka zao.

“Yawezekana kuna taarifa ambazo hazijakaa sawa, tumepokea taarifa ya TCU sisi kama chuo ni jukumu letu kuitekeleza,” alieleza Profesa Luoga

Chanzo: Habari Leo
TCU hatujawasikia muda mrefu. Naona wamejitahidi kutafuta kick.
 
Mwaka 2014 ilikuwa ata mtu mwenye four anakuwa amekidhi vigezo vya kuingia University mana mfumo uliotumika ni wa tofauti kipindi kile three iliishia point 13.
Uzuri wa UDSM wanapotoa list ya waliochaguliwa pale lazima waweke matokeo ya kidato cha sita na cha nne, kwaiyo waliochaguliwa UDSM kwa textile engineering mwenye ufaulu mkubwa alikuwa na two point nine yani two ya mwisho kwa mwaka ule 2014,Mkuu nipo makini sana kabla sijatoa taarifa pia sio UDSM pekee kuna vyuo vingine walichukua four za engineering ile ilikuwa inaitwa BRN.
Unakuja kubisha kumbe hata huelewi mambo, ukitaka nikutumie namba ya mtu wa textile engineering wa third year ntakutumia umuulize, watu hatukurupuki kuongea tuna evidence.

bado nakuelewesha. UDSM hakuna wasio na sifa. Hata hao anaowaita waliopata four mwaka huo, ni kwasababu mfumo ulikua haueleweki. unakuta mtu ana C ya physics na D ya maths, ila anahesabika ana four. ulikua ukibadili C na D za mwaka 2014 kwenda kwenye mfumo wa zamani, unapata divion 3. So kwa logic hiyo ni kama hakukua na mwenye four aliyechaguliwa.

Kwakusisitiza kua UDSM hawakusanyi asiye na sifa, nakumbuka mwaka 2012 kuna mdogo wangu alikua na divion III ya point 13 na alichaguliwa SAUT ktk program ya civil engineering. dogo akaenda TCU kuomba uhamisho na akapangiwa UDSM ktk program ya chemichal processing engineering.

kabla hajaripoti UDSM, alipigiwa simu na principal wa college of engineering (CoET) akaambiwa kua hana sifa ya kusoma ktk college of engineering kwasababu una alama S ktk somo la physics. akaambiwa kwakua ana alama C na D kwenye masomo ya mathematics na chemistry, jina lake litapelekwa kwa principal wa college of natural and applied sciences (CoNAS) ukasomee ualimu wa chemistry na mathematics.

alipoomba asomee ualimu wa physics na maths, aliambiwa hataruhusiwa kusomea ualimu wa physics kwakua hujafaulu vizuri physics. aliambiwa kama hajarizika na huko wanapota kumpeleka, basi arudi TCU akaombe apangiwe chuo kingine.
 
16836687_1367829649954050_2152111161348238515_o.jpg
SIKU moja baada ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutangaza utata wa udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu, wadau wakubwa wa elimu, wamejitokeza kupinga hatua hiyo. Wadau hao ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Baraza la Vyuo vya Ufundi Tanzania (NACTE).

Taarifa ya UDSM Kwa upande wake, UDSM kimeeleza kwamba hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyedahiliwa chuoni hapo, ambaye hana sifa za kujiunga na chuo hicho.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Florens Luoga aliliambia gazeti hili jana kuwa chuo hicho kimeweka utaratibu ambao unaweza mwanafunzi yeyote anayedahiliwa chuoni hapo, awe na sifa zinazohitajika kwa kuwa hawafanyi biashara.

“Sisi hapa ni wakali kuhusu jambo hilo, tukibaini kuwepo kwa mwanafunzi ambaye hana sifa tunamfukuza. Hatusubiri TCU iseme...hata tukibaini kuwa mtu alifanya udanganyifu na alishamaliza chuo, lakini hakuwa na sifa, tunamnyang’anya digrii tulivyompa,” alisema Profesa Luoga na kuongeza:

“Hiki ni chuo, hatufanyi biashara, sisi kazi yetu hapa ni kuandaa wataalamu na ndio maana tunakuwa wakali na makini kuhakikisha wanafunzi tunaowachukua, wote wanakuwa na sifa stahiki”, alisema Profesa Luoga alisema uhakiki ambao umefanywa na TCU na kutoa idadi ya wanafunzi 224 wanaosoma chuoni hapo, kuhakikisha wanawasilisha ushahidi wa nyaraka zao, wanaufanyia kazi, kwani kuna uwezekano tume hiyo haina taarifa kuhusu programu zinazoendeshwa na chuo hicho.

Alifafanua kuwa kuna baadhi ya programu maalumu, ambazo Serikali ya Tanzania imeingia na nchi nyingine kwa ajili ya kuendesha programu maalum.

Alisema kozi hizo zimekuwepo chuoni hapo kwa muda wa miaka 40 sasa na zinafanywa kutokana na makubalino ya Serikali ya Tanzania na nchi husika.

Alisema chuo hicho kikongwe Tanzania, kutokana na kuwepo makubaliano hayo kimekuwa kinapokea baadhi ya wanafunzi ambao wanatoka nje ya nchi na akasisitiza kuwa yawezekana ndio hao ambao TCU imeshindwa kupata nyaraka zao.

“Yawezekana kuna taarifa ambazo hazijakaa sawa, tumepokea taarifa ya TCU sisi kama chuo ni jukumu letu kuitekeleza,” alieleza Profesa Luoga

Chanzo: Habari Leo
ttzo ni pale kila mtu anataka aonekane anafanya kazi ili bwana yule amuone.Uongozi ni zaidi ya show off. Bravo UDSM at least vyuo vingine visafi vitajitutumua kuwajibu TCU
 
Makamu mkuu wa Chuo.
"Alisema chuo hicho kikongwe Tanzania, kutokana na kuwepo makubaliano hayo kimekuwa kinapokea baadhi ya wanafunzi ambao wanatoka nje ya nchi na akasisitiza kuwa yawezekana ndio hao ambao TCU imeshindwa kupata nyaraka zao."
Mkuu Nena, soma comment hii ya chini ya nataka hapa ujifunze kitu. kama utakuaa hujaelewa, basi panda mwendokasi ushukie UBUNGO mataa, uulizie UDSM iko wapi , kisha uende moja kwa moja hadi UTAWALA ukaulize. nadhani utapelekwa kwa Wanjarwanda, Wamsumbiji, Wachina, Wakorea, n.k ukasalmiane nao.
Hakuna lolote, katika awamu tuliyowahi kua na watu wakurupukaji ni awamu hii peke yake, hasa huyu Ndalichako sijui PhD yake kama ni halali.

Nakupa mfano: Mimi kuna jamaa yangu wakati nasoma UD alikua roommate wangu, jamaa yuko vizuri upstairs alikua anasoma geology engineering na vyeti vyake viko clean kabisa cha ajabu TCU wanamtoa kwenye majina kwamba hana sifa, kufatilia wanasema alionekana kua kuna kipindi alipata admission chuo cha nje.
Sasa hivi sio vituko yaani TCU ilishindwa kujua hili hata kwa kupitia chuo ili wajue kama jamaa yuko UDSM au yuko nje?

Mfano mwingine; watu wengi waliotajwa ni foreigners kutoka Rwanda, Burundi, Mozambique etc
Hawa wametajwa kisa kwenye system ya Necta matokeo yao ya form 4 hayaonekani, yaani TCU wanashindwa kujua kama UDSM imedahili wanafunzi kutoka nje ya Tanzania eti wanafikiria kila mtu ni lazima apatikane kwenye database ya Necta, huu sio upuuzi?
Hawa watu wakati wanaomba vyuo walileta documents zao kibao na TCU wakaridhika nazo sasa leo imekuaje wakose sifa tena wengi wao wamehitimu mwaka jana
 
kama na wewe ni kilaza, basi kaongee na Jesca Kilaza (yule mtoto wa kakitari), akupe mbinu alizotumia kufika chuo kikuu na wewe ufike. kama mzee wake ndiye aliyempeleka, na wewe utamuomba mzee wake akupeleke. sunajua mzee wake anawapenda wanyonge!!!
 
Kuna washona cherehani hapo eti textile engineering nakumbuka mwaka 2014 walichukuliwa hadi wenye daraja la nne,jamaa yangu alipoomba chaguo la kwanza alitemwa kwenye vyuo kama DIT,MUST na vingine akaomba hapo akapata na four yake, mimi huwa namuita kilaza kila siku japo yeye ananiambia kuna four wenzake wapo nao.
Labda sijui tafsiri ya kilaza naomba unieleweshe pia uje uwasafishe hao washona cherehani.
Na mimi nilikuwa nataka kupata classification ya vilaza kabla ya kuchangia.
 
kama na wewe ni kilaza, basi kaongee na Jesca Kilaza (yule mtoto wa kakitari), akupe mbinu alizotumia kufika chuo kikuu na wewe ufike. kama mzee wake ndiye aliyempeleka, na wewe utamuomba mzee wake akupeleke. sunajua mzee wake anawapenda wanyonge!!!

Ndiyo.
 
Kama UDSM isingekuwepo kwenye iyo list basi tungeshuhudia baadhi ya wanafunzi wa pale wakisumbua humu mtandaoni kwa kuwaita wenzao vilaza, ila kwa kuwa na wao wapo wametulia kimya mana wametoa idadi kubwa kuliko baadhi ya vyuo wanavyoviponda kila siku.HUJAFA HUJAUMBIKA.
na ndo maana imepinga suala la vilaza..vyuo vingine kimya
 
na ndo maana imepinga suala la vilaza..vyuo vingine kimya

kupinga kwa maneno ni rahisi ,, lkn kupeleka vyeti ni kazi ngumu sana ukiwa na mashaka....mtu anazungumza kuwa wasio na sifa ni wanafunzi kutoka nje,,unajiuliza huyu ni mwanafunzi wa elimu ya juu?? so leo mtanzania akiwa hana sifa Tanzania kenya anakubalika tu??

je tcu inadeal na wanafunzi wa ndani tu?? unapotakata kwenda kusoma nje ya nchi(kwa level ya undergraduate) international conversion inafanyika(kwa matokeo ya kidato cha 4 & 6) then wanapata sifa ukikidhi unadahiliwa if not hawakuchukui.....waache maneno wapeleke vyeti tcu wametoa nafasi & then badae watoke hadharani wakiisha hakikiwa.
 
Kwa hiyo TCU haihusiki na wanafunzi kutoka nje ya nchi?
wanahusika a data zote wanazo kwani hutakiw
kupinga kwa maneno ni rahisi ,, lkn kupeleka vyeti ni kazi ngumu sana ukiwa na mashaka....mtu anazungumza kuwa wasio na sifa ni wanafunzi kutoka nje,,unajiuliza huyu ni mwanafunzi wa elimu ya juu?? so leo mtanzania akiwa hana sifa Tanzania kenya anakubalika tu?? je tcu inadeal na wanafunzi wa ndani tu?? unapotakata kwenda kusoma nje ya nchi(kwa level ya undergraduate) international conversion inafanyika(kwa matokeo ya kidato cha 4 & 6) then wanapata sifa ukikidhi unadahiliwa if not hawakuchukui.....waache maneno wapeleke vyeti tcu wametoa nafasi & then badae watoke hadharani wakiisha hakikiwa.
kila nchi ina vigezo vyake. wakija kwetu wanafuata vigezo vyetu. hakuna sifa universal kwa vyuo vikuu, ndio maana umeona baada ya seriakli kufirisika, imeamua kupandisha maksi za kujiunga chuo kikuu ili kupunguza waomba kikopo.

hata hivyo hakuna vilaza UDSM. TCU wanatafuta kiki baada ya kukaa kimywa kwa muda mrefu
 
wanahusika a data zote wanazo kwani hutakiw

kila nchi ina vigezo vyake. wakija kwetu wanafuata vigezo vyetu. hakuna sifa universal kwa vyuo vikuu, ndio maana umeona baada ya seriakli kufirisika, imeamua kupandisha maksi za kujiunga chuo kikuu ili kupunguza waomba kikopo.

hata hivyo hakuna vilaza UDSM. TCU wanatafuta kiki baada ya kukaa kimywa kwa muda mrefu
well said **kila nchi ina vigezo vyake** sasa kama tcu imewafanyia conversion kwa vigezo vya hapa imeona hawana sifa kwanin isiwaite waende kuverify?? kama wana sifa..alafu anakuja mtu anakwambia wasio na sifa ni wa nje kwa ajili ya kuimarisha mahusiano( Non -sense)..Hata uganda wenye vigezo cheap bado ukitaka kwenda kusoma kwao lazima wakufanyie conversion waone kama unafit!
 
Back
Top Bottom