Recent content by FURRIER

  1. FURRIER

    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Sahihi kabisa.kwani ni mieleka hiyo?
  2. FURRIER

    Hazard cfc mwenzako nakuelewa

    Hazard njoo huku haraka mambo ni fayaaa
  3. FURRIER

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hongereni asee
  4. FURRIER

    AJira ya temporary walimu.

    Hawa jamaa ni matapeli. Kuna mdogo wangu nimempa hizi number amepigia zaidi ya mara kumi but hawapokei.simu inaita hadi inakata
  5. FURRIER

    TTCL imejaa Wazee, Tangazeni Nafasi za Kazi

    Wazee nao ni watu acha wivu
  6. FURRIER

    Kwa miaka 4 iliyopita sijaona beki wa kati kama Rio Ferdinand

    Yule alikuwa mwanajeshi asee
  7. FURRIER

    Naombeni list ya topic za Physics A-level

    ADVANCED CHEMISTRY F6 General chemistry,physical chemistry. F6 Organic and inorganic chemistry. Ni hizo ila ni ndefu
  8. FURRIER

    Naombeni list ya topic za Physics A-level

    F5 Mechanics, waves and optics, heat and thermodynamics, electrostatics. F6 Electromagnetism, electronics, current electricity, modern physics(Atomic and nuclear , environmental physics.
  9. FURRIER

    Kama hutaki kutongozwa funga pm!

    Kutongozwa ni fursa.cyo wote huwa wanatongozwa so ukipata hiyo fursa mshukuru mungu
  10. FURRIER

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kutoka Private school kwenda Government school

    Haiwezekani hasa enzi hizi za prof joyce ndalichako . labda kipindi kile cha Philip mulugo
  11. FURRIER

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Au unaonaje chief? Inawezekana?
Back
Top Bottom