Recent content by Fure

  1. F

    Kozi ya ualimu wanachukua division 3 ya ngapi kwa chet cha form 4

    kama masomo ya art sahau wanataka angalau uwe umepass masomo ya sayansi bila kuwa na f ya maths ..... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Mahakama yaijia juu Tanroads kwa kubomoa nyumba iliyozipa kinga, sijui tutalipa tena kama zile za Bombadier

    Hivi Hili zoezi mwisho ni kiluvya tu au baada ya hapo wataendelea mpaka chalinze.......??? Mm Niko kibaha kwa Mathias ndani ya mita hizo kutoka morogoro road......anaye jua atujuze!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Ushauri wenu, kapata zero nataka nimrudishe form two

    kumbuka na age ni tatizo, hakimaliza form 4 akiwa na umri mkubwa hata kama amepass haendi form5 ya government
  4. F

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Alisha jaza form kabla hawajafanya hiyo mitihani.....!!! Sasa uhakika wa kuchaguliwa chuo cha huwalimu.......
  5. F

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    hiyo ni four ya 26......kwa hiyo kunahuwezekano wa kupata post ya serikali
  6. F

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Je , mwenye math D, chem D, biology C, english C, hist D, geog D, civ D na kisw D ......hataweza pata post gani.....???huwalimu je ???
  7. F

    Cheti cha form four

    wewe tangu lini.......mwisho ni iv 28
  8. F

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Private sec.school......kwenda governmen sec.school sahauuuu
  9. F

    Wapi yanapatikana mafuta ya nazi

    Hayo unayo yataka ww yanapatikana kwa oda tena vizuri wakati yanatengenezwa uwepo, coz hata nazi zinazo tumika ni nazi fresh. Ndio maana nikauliza unahitaji kiasi gani sababu yanagharama kidogo ukizingatia hiko ni chakula usafi unaitajika..... Kinyume chake angalia usije ukauziwa mafuta...
  10. F

    Sato na sangara wanapatikana kutoka mwanza

    Habari wana jf.....? Mm ni mfanyabiashara kutoka mwz nimekuja dar kutafuta masoko ya samaki wamaji baridi sato na sangara. Kutokana na mm yakutokuwa na nanafasi yakufanya hiyo biashara kwa rejareja, nimeamua kuifanya hiyo biashara kwa jumla tena kwa oda maalum. Kwasababu hiyo basi nina...
  11. F

    Wapi yanapatikana mafuta ya nazi

    Hunaitaji kiasi gani? Hayo yanapatikana kwa oda nitafute pm kwa maelekezo zaidiiii......!!!!!
  12. F

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Kama ni ghalama zake kwa nn asitumie hiyo likizo yake kwenda kijijini kwake akasherekea sikukuu na wazazi wake walio msaidia kwa namna moja ama nyingine kumfikisha kwenye mafanikio aliyonayo. sasa huko nje wanaenda kumwangalia nani? Kama sio kuiga tabia za kishenzi za ndoa za jinsia moja...
  13. F

    Kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya kuku wa kienyeji anijuze!

    asante, sasa huo ushuru wa mnadani ni kwaajiri ya mtu anaye nunua au yule anaye uza? ok na huwa wanalipa kama shl ngapi?
  14. F

    Kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya kuku wa kienyeji anijuze!

    asante kwa kunijuza na hongera kwa kula mafao! je, changamoto zake ni zipi? Na je kunahitaji leseni ya biashara wakati unafuata huo mzigo?
  15. F

    Serikali, Wenye Hisa za NICOL ndio wameliwa au...?

    Nenda kwenye ofisi zao ukaulize, ziko mikocheni maeneo ya kwamwinyi
Back
Top Bottom