Mkuu, sio kama waliamua kuweka pembeni ila ipo hivi, kitendo cha kuwa mlokole maana yake yake unachukua akili yako timamu unampa mtu mwingine anakuendeshea huku wewe ukibaki unatumia maji pekee kichwani.
BTW hizi timu mbili hazijjawahi kuwa na mpira wowote wa maana ndani ya pitch zaidi ya uchawi, unafiki na kukomoana nje ya uwanja.
Hazipo kwa ajilii ya kucheza soka, zipo kwa ajili ya kutaniana na kukomoana kwahiyo hata usishangae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.