Hivi kweli hizi dawa za kuoga zinaweza kuleta maajabu au matokeo yoyote mtu anapotumia kwa kuzioga mfano kama kusafisha nyota n.k au ndo unaweza hata kuoga bahari zote mpaka zikaisha ila mambo yakawa vile vile
Kwa wazoefu tu, karibuni.
nipende kuchukua nafasi hii kukujulisha kuwa wewe upo kundi la burudani na maintantaina humu jukwaani 🤣🤣🤣
kwenye sanamu lako sementi na nondo niachiwe Mimi 🔥🔥
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.