Recent content by Funny boe

  1. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Mbinu 75 za kuwa homeless duniani

    Naunga mkono hoja zako
  2. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Ukizoea faraja sana— Utaikimbia fursa

    Ukweli mchungu, leo kwa mara ya kwanza nimeuelewa uzi wako Dr
  3. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kama ungepewa Tsh 500 Million leo, ungewekeza kwenye nini?

    "Hapo kwanza navuta mchuma kama wa 80M na geto kali kinoma Halafu ndo mengine yafuatie" alisikika kijana baro baro akiongea kijiweni.
  4. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Naona hata wewe hakuna la maana unalolijua zaidi ya propaganda na stori za kuhadithiwa tu It's a Trash, weka humu 🗑
  5. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Labda kocha kuna kitu cha tofauti anataka kukileta au huenda pia ndo nywele zinamuishia hivyoo
  6. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Sijaelewa mfano wako huo unahusika na roho mtakatifu, au unataka kusema ndiye aliyenipa huo utashi na akili?
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Babuu, wao ndo wanajua ukweli halisi au labda uwe mmoja wao unless uache kuja na propaganda zako zisizo na uhakika kuleta taharuki humu
  8. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Ndo hapo sasa mshikaji pale juu akauliza, kwani huyo roho mtakatifu anashindwa kuwalinda badala ya kumjibu ukaanza chenga
  9. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Kama ni hivyo basi huyo roho mtakatifu hana maana ya kuwepo
  10. Funny boe

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Unaikataa issue ya Ebola kisa haijatajwa Ila unaleta agenda yako na kutulazimisha kwa propaganda zako eti "tishio la kigaidi" mbona na lenyewe hawajalitaja?
  11. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

    Na kwenye avatar naiona picha yake halisi kabisa
  12. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Kwa sasa naingiza fedha mara mbili ya nilivyokuwa nalipwa Man United

    Kumbe na huyu nae ashakuwa supastaa huku bongo
  13. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

    Ungeelezea kabisa wewe umebobea katika profesheno ipi ili tukukabidhi kwenye idara yenu uwakute wenzio kabisa Kuna chama la akina mbaga, chama la karanga na infop, chama la min, chama la binti wa zamani, leo dada na kenzy, n.k Idara zipo nyingi mkuu, we sema tu uko upande upi.
  14. Funny boe

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyabiashara wadogo Morogoro wanakumbana na Udalali wa maeneo ya biashara; wanalipishwa mara 5 zaidi ya bei halisi

    Sidhani kama kuna serikali inayoweza kukupa huo msaada kwa sasa, wapo busy na mambo yao. Nje ya mada, kwa watu wa Dar hivi yule rio fedi Nandi asharudi kwao?
Back
Top Bottom