Nguvu kubwa sana na povu lote hilo kuitetea dini ya allah
Sasa tunasema hiviii, kwakuwa hatuvunji sheria za nchi hatuachi kuwaelekeza nyie na HAMNA LOLOTE LA KUTUFANYAAAA
Vile vile hauwezi kusali mara moja tu ukasema umemaliza, inahitaji kusali na kuomba kila mara, kuhudhuria sana kanisani au misikitini, kufunga na kushinda njaa mara kwa mara n.k
Pande zote mbili UTUMWA HAUEPUKIKI NA KUTESANA BURE TU iwe ni kwa washirikina au kwa wanaosali.
Ukibishi njoo na hoja...
Sasa Mshana Jr unatushauri tutumie nguvu zipi sasa? Au ndo tumkaribie mungu kwa kuongeza maombi, siku za kufunga na siku za kuhudhuria kanisani?
Au ndo tuogee chumvi mpaka ngozi zetu zibadilike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.