Unaikataa issue ya Ebola kisa haijatajwa Ila unaleta agenda yako na kutulazimisha kwa propaganda zako eti "tishio la kigaidi" mbona na lenyewe hawajalitaja?
Ungeelezea kabisa wewe umebobea katika profesheno ipi ili tukukabidhi kwenye idara yenu uwakute wenzio kabisa
Kuna chama la akina mbaga, chama la karanga na infop, chama la min, chama la binti wa zamani, leo dada na kenzy, n.k
Idara zipo nyingi mkuu, we sema tu uko upande upi.
Sidhani kama kuna serikali inayoweza kukupa huo msaada kwa sasa, wapo busy na mambo yao.
Nje ya mada, kwa watu wa Dar hivi yule rio fedi Nandi asharudi kwao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.