BTW hizi timu mbili hazijjawahi kuwa na mpira wowote wa maana ndani ya pitch zaidi ya uchawi, unafiki na kukomoana nje ya uwanja.
Hazipo kwa ajilii ya kucheza soka, zipo kwa ajili ya kutaniana na kukomoana kwahiyo hata usishangae
Naam, miaka kama 2 nyuma nilivyogundua hiki kitu na nilipokuwa naelekea, niliamua kuachana na haya mambo. Now huwa sihusiki kwa chochote wala ushabiki wowote wa simba na yanga kabisa.
kuwa shabiki wa simba au yanga maana yake umechukua akili zako zote timamu umempa mtu akusaidie kukuendeshea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.