Recent content by Funny boe

  1. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    🤣🤣🤣🤣 aisee, hii story inachekesha sana kama haijakukuta wewe
  2. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    🤣🤣🤣🤣 aisee, hii story inachekesha sana kama haijakukuta wewe
  3. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Mkuu, sio kama waliamua kuweka pembeni ila ipo hivi, kitendo cha kuwa mlokole maana yake yake unachukua akili yako timamu unampa mtu mwingine anakuendeshea huku wewe ukibaki unatumia maji pekee kichwani.
  4. Funny boe

    JamiiForums Tanzania KERO Uondoshaji wa mizigo bandarini ni shida kubwa, TBS inatuumiza Waingizaji wa Shehena (importer) nchini

    Wanaopewa mic ni machawa tena ambao wanakuwa washapewa script ya namna ya kukisifia chama na mama. Wahanga huwa hawapewi nafasi
  5. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Maisha ya kweli ni kuwa na " peace of Mind"

    Nani aliyezitia giza sasa?
  6. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Mkuu. Umewezaje kuandika andiko refu kiasi hicho
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Maisha ya kweli ni kuwa na " peace of Mind"

    Japo leo haujaisifia damu ya yesu ila umeongea ukweli halisi, angekuwa anahitaji hiyo mind peace angeitafuta na kuipata
  8. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Yanga kuokoteza makombo ya Simba ni Ushamba au Upashkuna wa Michezo?

    BTW hizi timu mbili hazijjawahi kuwa na mpira wowote wa maana ndani ya pitch zaidi ya uchawi, unafiki na kukomoana nje ya uwanja. Hazipo kwa ajilii ya kucheza soka, zipo kwa ajili ya kutaniana na kukomoana kwahiyo hata usishangae
  9. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Moyo then ubongo unafuatia. Hayo maswala ya kiroho yapo kiimani tu na sio kiuhalisia
  10. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi inanifaa nje ya kazi

    Nyumba za kupangisha sio biashara wala uwekezaji mkuu, ni kama benki tu unapotunza fedha zako ili uzitumie polepole
  11. Funny boe

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kwa sisi wenye iphone 11 plain itakuwaje sasa?
  12. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtanzania, umevuka miaka 35 na huna Passport upo kwenye list ya watu maskini

    Passport ndio kitu gani tafadhali maana huku maduarani tunapochimba Pesa kama majivu bado haijatufikia
  13. Funny boe

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Active unajua kuwa platinum member kuna utofauti sana na sisi members wa kawaida, Embu pitia profile yake basi
Back
Top Bottom