Recent content by Funny boe

  1. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Maisha ya kweli ni kuwa na " peace of Mind"

    Nani aliyezitia giza sasa?
  2. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi mkuu wa kesi yake

    Mkuu. Umewezaje kuandika andiko refu kiasi hicho
  3. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Maisha ya kweli ni kuwa na " peace of Mind"

    Japo leo haujaisifia damu ya yesu ila umeongea ukweli halisi, angekuwa anahitaji hiyo mind peace angeitafuta na kuipata
  4. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Yanga kuokoteza makombo ya Simba ni Ushamba au Upashkuna wa Michezo?

    BTW hizi timu mbili hazijjawahi kuwa na mpira wowote wa maana ndani ya pitch zaidi ya uchawi, unafiki na kukomoana nje ya uwanja. Hazipo kwa ajilii ya kucheza soka, zipo kwa ajili ya kutaniana na kukomoana kwahiyo hata usishangae
  5. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Moyo then ubongo unafuatia. Hayo maswala ya kiroho yapo kiimani tu na sio kiuhalisia
  6. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi inanifaa nje ya kazi

    Nyumba za kupangisha sio biashara wala uwekezaji mkuu, ni kama benki tu unapotunza fedha zako ili uzitumie polepole
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kwa sisi wenye iphone 11 plain itakuwaje sasa?
  8. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtanzania, umevuka miaka 35 na huna Passport upo kwenye list ya watu maskini

    Passport ndio kitu gani tafadhali maana huku maduarani tunapochimba Pesa kama majivu bado haijatufikia
  9. Funny boe

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Active unajua kuwa platinum member kuna utofauti sana na sisi members wa kawaida, Embu pitia profile yake basi
  10. Funny boe

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Upewe platinum membership sasa mkuu maana umepambana sana, 15 yrs sio haba
  11. Funny boe

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga Day | Agosti 9, 2026 | Uwanja wa Uhuru | Yanga 1: 2 Les Aigles Du Congo. Yanga Day yaingia Doa

    Unless kama wewe sio shabiki wa timu yoyote kati ya hizo ila kama unashabikia timu yoyote hapo basi lazima utakuwa na ugonjwa wa akili tu
  12. Funny boe

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga Day | Agosti 9, 2026 | Uwanja wa Uhuru | Yanga 1: 2 Les Aigles Du Congo. Yanga Day yaingia Doa

    Naam, miaka kama 2 nyuma nilivyogundua hiki kitu na nilipokuwa naelekea, niliamua kuachana na haya mambo. Now huwa sihusiki kwa chochote wala ushabiki wowote wa simba na yanga kabisa. kuwa shabiki wa simba au yanga maana yake umechukua akili zako zote timamu umempa mtu akusaidie kukuendeshea...
  13. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Kuna mdau mwingine kasema pia bange ana ushuhuda nayo haina matokeo hayo, isihusishwe nae yeye anatumia vitu vingine kabisa vinavyomchanganya
Back
Top Bottom