Recent content by Funny boe

  1. Funny boe

    CAS: Tutatoa uamuzi wa rufaa ya Senegal "haraka iwezekanavyo"

    Niulize kitu kidogo tu hapo Kwani hiyo CAS ipo chini ya CAF au FIFA?
  2. Funny boe

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Hatimaye mwenyekiti alifika ila mwenye uzi akakimbia. Haya mambo yana wenyewe.
  3. Funny boe

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Kipimo cha kuona kama una pesa ni pale unapoulizwa sana na watu kuwa wewe pesa unazitoa wapi. Ukiulizwa sana hilo swali jua hauko mbali🔥🔥
  4. Funny boe

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Kuna Watu hawatokuelewa ila pesa ndio kila kituuu
  5. Funny boe

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Ongeza sana juhudi kwenye kutafuta pesa uwe hadi na za ziada NB: UNGA SIO AKIBA
  6. Funny boe

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Binafsi, PESA NYINGI NI KILA KITU 100%
  7. Funny boe

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Nguvu kubwa sana na povu lote hilo kuitetea dini ya allah Sasa tunasema hiviii, kwakuwa hatuvunji sheria za nchi hatuachi kuwaelekeza nyie na HAMNA LOLOTE LA KUTUFANYAAAA
  8. Funny boe

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Vile vile hauwezi kusali mara moja tu ukasema umemaliza, inahitaji kusali na kuomba kila mara, kuhudhuria sana kanisani au misikitini, kufunga na kushinda njaa mara kwa mara n.k Pande zote mbili UTUMWA HAUEPUKIKI NA KUTESANA BURE TU iwe ni kwa washirikina au kwa wanaosali. Ukibishi njoo na hoja...
  9. Funny boe

    Mashauriano ya kiroho: Hifadhi hii mada itakusaidia kwa mengi

    Sasa naona kila kitu umekikataa na haujatoa mwongozo wako. As the thread starter, toa njia unazoona sahihi za kupitia na tufanikiwe
  10. Funny boe

    Mashauriano ya kiroho: Hifadhi hii mada itakusaidia kwa mengi

    Sasa Mshana Jr unatushauri tutumie nguvu zipi sasa? Au ndo tumkaribie mungu kwa kuongeza maombi, siku za kufunga na siku za kuhudhuria kanisani? Au ndo tuogee chumvi mpaka ngozi zetu zibadilike
  11. Funny boe

    Iran yaangusha F-35 ya Kimarekani

    Mwamedi umeridhika sasa?
  12. Funny boe

    Mashauriano ya kiroho: Hifadhi hii mada itakusaidia kwa mengi

    Kwahiyo wale wanaodai kuwa na pesa nyingi wanazopata kwa njia za asili au waganga sio uhalisia mkuu
  13. Funny boe

    Kwanini huku JamiiForums mnapaita jukwaani? Kwani kuna watu wana parform au kutoa hotuba?

    Ngoja kwanza... Idea ya jina lako la chai ya rangi uliipataje
  14. Funny boe

    Binafsi maisha ya Dar es salaam yamenishinda

    Nimemweleza hivo pia. Nimemshauri tu arudi akatafute pesa then atakuja tutumie. Jiji linahitaji uwe na pesa and not otherwise
Back
Top Bottom