Recent content by Funny boe

  1. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Wazee wa maelekezo, wazee wa kufuata masharti, wakulumbembe, wakubwa, waamini asili, waganga wa kienyeji: Mnaitwa hapa

    ndio maana nikawaita wazoefu tu, nyie wagalatia hamkupaswa kuja hapa
  2. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Wazee wa maelekezo, wazee wa kufuata masharti, wakulumbembe, wakubwa, waamini asili, waganga wa kienyeji: Mnaitwa hapa

    Sasa mkuu kama haujajaribisha una uhakika gani ni utapeli
  3. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    Mpaka viwanja vya urithi uliviweka bond nini?
  4. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Wazee wa maelekezo, wazee wa kufuata masharti, wakulumbembe, wakubwa, waamini asili, waganga wa kienyeji: Mnaitwa hapa

    Hivi kweli hizi dawa za kuoga zinaweza kuleta maajabu au matokeo yoyote mtu anapotumia kwa kuzioga mfano kama kusafisha nyota n.k au ndo unaweza hata kuoga bahari zote mpaka zikaisha ila mambo yakawa vile vile Kwa wazoefu tu, karibuni.
  5. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Hao ndo wadhamini wetu dada, hadi taarifa ya habari huwa wanaikatiza kwanza ili tangazo la mdhamini lipite kwanza au unasemaje mwanangu allow cp
  6. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Mzee hapa umezinguaaa dah
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Hizo chuchu sasa 🔥🔥🔥
  8. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    nipende kuchukua nafasi hii kukujulisha kuwa wewe upo kundi la burudani na maintantaina humu jukwaani 🤣🤣🤣 kwenye sanamu lako sementi na nondo niachiwe Mimi 🔥🔥
  9. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kuna members wamepotea sana humu Jf since july kuna usalama kweli?

    Hii ni ID nyingine ya mbuzi, ikipigwa ban id kuu ndo anakuja na hii ila kapotea ndo maana zote haziko active
  10. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kutokea kwa Bikira Maria ukutani kwaleta taharuki ya mahujaji na nyumba kuvunjwa huko Kisii, Kenya!

    ni kweli hakuna mkiristo yeyote mwenye akili timamu
  11. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Watoto kuwahi shule alfajiri: je, ni mafanikio ya kielimu AU tishio kwa afya?

    Angalau wangekuwa wanapaswa kufika shuleni saa 2 na nusu asubuhi
  12. Funny boe

    JamiiForums Tanzania WANAKOELEKEA WADANGANYIKA NI KUBAYA ZAIDI KULIKO WANAKOTOKA

    kwahiyo leo asubuhi pale kijiweni kwenu ndiyo mambo mliyojadili?
  13. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara ipi nifanye

    naunga mkono hoja inafikirisha sana
Back
Top Bottom