huyu si ali kataa kujenga kwao akasepa south africa na kujenga limjengo kwa pesa za ggm.na ndiye alie tia saini ya dhahabu zichimbwe mpaka mwaka 16666666 ndiyo najua magamba mtashupalia sana ni kweli.
LEMA.wewe ni kamanda tena sana.nakushauri njoo mwanza na makamanda kama 200 hivi sawa wenje naye achague makamanda wenye moyo na nchi hii kama 200 jumla tuwe 402 yaani jk hata akija na police 1000000000 hawataweza kwani wao wanategemewa walipwe mshahara lakini sisi tuta simama kimapenzi na...
Zamani ukiwa ccm wewe utaogopeka mpaka najamii lakini ebu pita kwa sasa na masale yako ka majani ya mpera hata soko lolote la mwanza,tarime,musoma,ilemela na majimbo yote yaliyo kwesha kombolewa.gamba atakiona kitakacho tokea.cdm mpango wa mungu
Hahahaaaaaa jamaa huyu ni kibaraka wa jk na dhani si unaona povu linavyo watoka mamundu wake hapa wanashupalia au buku 7 ndo zina watumeni? Mtakufa na ukibahatika kukutana na maraika wa chadema mbinguni ana kuonyesha site la magamba wakiwa tanuli la moto sijui mtafanya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.