Demu wa vibomu

Demu wa vibomu

Kuna siku miadi imepangwa kila kitu tuonane saa 1 jioni sasa sikuwa na uchawi wa miguu minne siku hyo si nikatoa taarifa kuwa nakuja nadaka daladala..
Conversation ikawa hivi..
Mimi: si umejiandaa
Yeye: ndio njoo
Mimi: poa nadaka daladala hapo chaap nafika
Yeye: heeh daladala tena??
Mimi: ndio, usafiri pancha na sina hela ya kufanyia service..
Yeye: heeh mi nilijua unakuja na gari, sasa na basi si nitakutesa mpaka huku.
Mimi: hamna siteseki nshaamua naja so usiwaze
Yeye: daah kama huna gari let's arrange another day sa hivi utachoka tu na jioni hii....
Mimi: (huku nsha mind) sasa anayechoka mimi au wewe?? Naja usiwaze
Yeye: aah nsha arrange ratiba nyingine
Mimi: kimya( mpaka leo miezi mi3 akinitafuta nipo busy tu na mimi)
Shida sana....
Si umeona mkuu, vitu vidogo vinawatoa sana fahamu.
Ukienda na Corola ataanza mimi nilijua unapush Q7? wakati baba yake mzazi hana ujanja wa kumiliki hata baiskeli

Bora mkuu ulivyompotezea mwizi tu huyo, tena umemwonesha kuwa wewe ni muwazi unapanda daladala yeye anataka makuu. Angalia yako asikuumize kichwa
 
Si umeona mkuu, vitu vidogo vinawatoa sana fahamu.
Ukienda na Corola ataanza mimi nilijua unapush Q7? wakati baba yake mzazi hana ujanja wa kumiliki hata baiskeli

Bora mkuu ulivyompotezea mwizi tu huyo, tena umemwonesha kuwa wewe ni muwazi unapanda daladala yeye anataka makuu. Angalia yako asikuumize kichwa

Mkuu haya mambo yanaumiza sana roho na yanakera....

Juzi kuna sista angu anani hadithia kuwa kuna rafikiye anapigiwa misele na jamaa basi jamaa akajipiga piga akawa amenunua toyota duet akaona haina mbaya nikiwa naenda job nimpitie yule mrembo nimpe lift....
Daah jamaa akafika akampigia simu mtoto aje ampe lift na kweli akaja akapanda akapekelekwa mpaka ofisin kwao...
Kufika anawaadithia wenzake "khaaa mtu anakuja kunisumbua na mahoni nkajua kanunua VX kumbe ana ki duet nani atababaika nacho "
Daah hawa watu si wenzetu kabsa sijui wana madudu gani kichwani....
 
ukiwaendekeza hawa unaweza jikuta unaingia kwenye dili za hatar kama kuwa punda jambazi kisa walidhike.nashukuru mungu nilipendaga mara moja tu na nikakoma.sahizi akileta pose natupa kule,akinilitea shida shida namsikilizia kwa mda akizidi tupa kule wapo wengi hawa wanaume wasitusumbue
 
kuna maza angu mdogo alikuwa anachagu wanaume huyo wenye magar yan ful selector ampaka leo 40yrs kaishia kuzalshwa katoto ka1 hana jipya na monopause ndio hyo
wanawake acheni tamaa na vizinga vya kishamba.
ndio mana tukshawagegeda tunawatupa kama haja
 
Hiyo imetulia Mkuu Engineer Mzalendo! Kuna mmoja nilikutana maeneo. Kwa muonekano ni mstarabu nikavutika nikamuapproacha, akaniambia kesho yake anasafiri kwenda Arusha, tukapiga story siku hiyo na kunywa sana bia,tukaagana kwa makubaliano kuwa tutaonana akirudi.
Siku 3 mbele napokea simu yake,ananiambia ndio anajiandaa kurudi kwa hiyo anaomba nimtumie nauli na hela ya kununua zawadi na atafikia kwangu jumla 150,000/=.
Tumekutana siku 3 tu zilizopita hata hanifhamu vizuri, kabla yangu ameomba wangapi, amekuwa akiishi maisha gani?
Wanawake wengine wanajishusha hadhi sana wanapoyachukulia Mapenzi na utu wa mwanaume katika pesa, hata kama ninacho usinifanye poyoyo au suluhisho la dhiki ulizonazo au ngazi ya kutafutia hadhi!
 
Sasa hvi tunatakiwa tuishi kwa akili na ujanja sana na hawa viumbe... KATA FUNIKA...... Fanya jitihada piga mara moja akianza kukuomba mpe ahadi hata ya siku mbili baada ya hapo weka blacklist........ Utaumizeje kichwa na mtu usiyemzaa??........

Mchezo wa HIT and RUN .............. I like it.
 
kuna maza angu mdogo alikuwa anachagu wanaume huyo wenye magar yan ful selector ampaka leo 40yrs kaishia kuzalshwa katoto ka1 hana jipya na monopause ndio hyo
wanawake acheni tamaa na vizinga vya kishamba.
ndio mana tukshawagegeda tunawatupa kama haja

hahaaaaa mwenyew ninae now ana 35 na hana wa uhakika wala mtoto hataki nje ya ndoa na ndo kuzeeka kunaanza.dah mibaya hiyo kwa kweli
 
Mimi ugonjwa wangu kuhonga

Ugonjwa wako unaitwa "low self esteem", bila kutoa sana unakuwa na wasiwasi kuwa utaonekana mapungufu yako. Na ukiachwa unakimbilia kudai vitu ulivyotoa kwa matangazo ya loudspeaker.
 
Hiyo imetulia Mkuu Engineer Mzalendo! Kuna mmoja nilikutana maeneo. Kwa muonekano ni mstarabu nikavutika nikamuapproacha, akaniambia kesho yake anasafiri kwenda Arusha, tukapiga story siku hiyo na kunywa sana bia,tukaagana kwa makubaliano kuwa tutaonana akirudi.
Siku 3 mbele napokea simu yake,ananiambia ndio anajiandaa kurudi kwa hiyo anaomba nimtumie nauli na hela ya kununua zawadi na atafikia kwangu jumla 150,000/=.
Tumekutana siku 3 tu zilizopita hata hanifhamu vizuri, kabla yangu ameomba wangapi, amekuwa akiishi maisha gani?
Wanawake wengine wanajishusha hadhi sana wanapoyachukulia Mapenzi na utu wa mwanaume katika pesa, hata kama ninacho usinifanye poyoyo au suluhisho la dhiki ulizonazo au ngazi ya kutafutia hadhi!

Wanakera sana hawa watu!!!!! Unaweza piga vibao mtu...
 
kuna maza angu mdogo alikuwa anachagu wanaume huyo wenye magar yan ful selector ampaka leo 40yrs kaishia kuzalshwa katoto ka1 hana jipya na monopause ndio hyo
wanawake acheni tamaa na vizinga vya kishamba.
ndio mana tukshawagegeda tunawatupa kama haja

Wanamegwa wanaachwa .... Mtu anaona majanga tu na mzigo
 
"baba" kuna mmoja kajichanganya, nimempigia simu asubuh hakupokea wala kunitafuta. jion naona sms " naomba 50000 nimepata dharura nitakurudishia kesho kutwa" nikauchuna mpaka wiki mbili nikampigia na kumchana, heeeee! alikata simu na namba amebadilisha!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom