funga funga
Member
- Feb 13, 2014
- 29
- 3
Yaani nisivyo mpenda huyu muuaji tena kaka ka zimwi la damu.salaamu kwa magamba kuwa "mtu hawezi kuramba matapishi yake".wa tz hawawezi kurudi kwenye zama za mawe.
Mwigulu kwa vile ni naibu wa wizara ya fedha basi, ataonga wapinzani wenye njaa wengi sana kwa kutumia hadhina ya taifa!
Yaani nisivyo mpenda huyu muuaji tena kaka ka zimwi la damu.salaamu kwa magamba kuwa "mtu hawezi kuramba matapishi yake".wa tz hawawezi kurudi kwenye zama za mawe.
Cdm nayo ipange mikakati ya kuua ccm ktk jmbo la chemba
mtakoma na wivu wa wenu wa kike,mwigulu jembe.Yaani nisivyo mpenda huyu muuaji tena kaka ka zimwi la damu.salaamu kwa magamba kuwa "mtu hawezi kuramba matapishi yake".wa tz hawawezi kurudi kwenye zama za mawe.
Acheni wivu wa kike mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe,mwigulu Mungu akusaidie uendelee kusonga mbele ccm tunakutegemea sana.
kosa kubwa wanalofanya ccm ni kudhani kwamba,ccm inachukiwa kwa kuwepo chadema.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya chama cha mapinduzi wilayani iramba,zinabainisha kuwa,kuna mkakati mkubwa sana unaoratibiwa na mbunge wa iramba ndugu Mwigulu Nchemba,wa kuhakikisha chadema inapotea kwenye ulingo wa kisiasa wilayani iramba.Mkakati huo ambao tayari umefichuliwa na mmoja wa kiongozi mwandamizi wa ccm iramba,baada ya kukerwa na mbinu hiyo haramu isiyo na maslahi kwa wananchi,unawahusisha baadhi ya viongozi wa chadema iramba wenye njaa kali,na ambao wamekuwa wakipinga maamuzi ya cc ya kuwavua nyadhifa zao,dk kitila na zzk.Kazi ya kwanza ni kuhakikisha ofisi za chadema za wilaya zilizoko katikati ya mji wa kiomboi zinafungwa.Pili ni kuwatumia viongozi wenye mrengo wa TEAM USALITI,kuanzisha mgogoro wa kiungozi,mmoja wa viongozi hao ni mwenyekiti wa kata ya ndago.Mtonyaji wetu toka ndani ya ccm anasema mwenyekiti huyu wa ndago amekuwa akikinda chama kwa kuwafukuza zitto na kitila,na amekuwa kinara wa migogoro wilayani iramba.Viongozi hao wanalipwa fedha na mwigulu. source uchunguzi binafsi.
Yusuph Jr,
Acha uwongo tena uliodhahiri Kama kufungwa ofisi zenu zimefungwa siku nyingi sana hata ya Shelui sasa miezi mitano haijafunguliwa, hata ofisi kuu ya Mkoa near by Rwezaura Bar ipo na kufuli kubwa mwaka mzima Je na hiyo njama ya Mwigulu?
Si mmemfukuza Bwana Sarai na sasa mmepata uongozi mpya mbona bado nao wanaendelea kufunga ofisi? Bandiko lako halina hoja ya msingi, Mimi naishi hapa hapa Iramba, Shelui!
CDM Iramba ishakufa hakuna asiyejua, hata Mwenezi Malume yupo hoi haamini kilichomkuta Dr Kitila hadi Leo!
Tafuta lingine hili halina mashiko!
Hivi wewe ulitegemea Mwigulu asaidie kuimarika kwa CDM? yaani mshindani wako akusaidie wewe ili umshinde? Hakuna sehemu yiyote Mwigulu alipokosea yeye ametimiza wajibu wake umebaki wajibu wako wewe kuoambana naye na hatimaye ufanikiwe kumshinda
Yusuph Jr,
CDM Iramba ni dhaifu sana tena sana! Uwe mkweli baada ya kumfukuza Dr Kitila ndio imekuwa mwisho wake! Iramba hakuna chama cha upinzani!
Vijana wengi wa Ndago, Shelui, Urughu, Mtekente, Ulemo wamekuwa doro kabisa baada ya kumfukuza Dr Kitila! Kwa hakika mkitaka kuona jinsi gani chama kimeathirika basi mfano Mzuri Iramba! Dr Kitila alikuwa anajitolea mwenyewe kulipia ofisi na shajala pamoja na mafuta!
Tumuombe Dr Kitila aendelee kusaidia CDM Iramba Kama mtu baki Kama Sabodo!