Recent content by Fundi wa fundi

  1. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa mtandao wa mawasiliano Umeme na Maji

    Changamoto hii imekua khbwa sana katika Maeneo mengi ya vijijini kutokana na ukosefu wa elimu na ujasiri kwa wananchi haswa waishio vijijini hata pale wanapofika viongozi wa kitaifa kwa kua huogopa kuchukuliwa hatua na viongozi wa ngazi ya mtaa na vijiji
  2. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa kijiji cha Kifundai na vitongoji vyake tunakabiliwa na changamoto ya huduma mbovu za afya na mawasiliano

    Jamii check tunaomba msaada wenu katika kufikisha kero zetu hizi
  3. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa kijiji cha Kifundai na vitongoji vyake tunakabiliwa na changamoto ya huduma mbovu za afya na mawasiliano

    Tunakabiliwa na shida ya mtandao wa mawasiliano, yaani ukitaka kupiga simu lazima uende kitongoji kingine mbali ya kwamba tuna zahanati ya kijiji, wananchi waliojiunga na bima hawana faida au hawafaidiki na bima hizo pindi wanapoenda kutibiwa tafadhali serikali inatusaidiaje katika hili. Tuna...
  4. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Unatarajia Mbunge wako leo atapiga Kura ya Ndio au Hapana kwenye Bajeti Kuu ya Serikali?

    Watapitisha kwani wapo kwa ajili ya wananchi au kwa ajili ya kupokea posho na mishahara yao
  5. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Suleimani Misango: Bajeti imelenga kuwafukarisha wavuvi na Wafugaji nchini

    Ni ukweli ulio dhahiri kabisa
  6. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Waziri Aweso abainisha miradi ya maji iliyokamilika na inayoendelea

    Nashauri Wizara ya maji ijitafakari na kuwasimamia wakurugenzi wa halmashauri pamoja na madiwani ambao hawatimizi wajibu wao
  7. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Waziri Aweso abainisha miradi ya maji iliyokamilika na inayoendelea

    Kuna miradi mingi imesimama tena mirafi hiyo inapita wananchi wenye vyanzo vya maji na kupeleka katika marneo mengine ya mbali tena ya mjini na kurukwa wale waliotunza vyanzo miaka na miaka hii ni dhambi kubwa sana
  8. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania KERO Ubovu wa barabara kutoka Mombo kuenda Lushoto

    Kuna shida ya ubovu wa barabara ya kutoka Mombo kwenda Lushoto ina mashimo mashimo na pili hakuna ufuatiliaji wa nauli za bei mfano bei ya kilometa moja ya lami ni shilingi 30-40 lakini wao wanachaji 200 kwa kilometa moja ambao mfano mombo bangala ni km5 bei 1000 Mombo Soni ni km 10-15...
  9. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

    Na hawatakaa waeleweke maana wanazungumza na watu waliowachoka kutoka ndani ya mioyo yao
  10. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Kijana unaefikiria kuoa ukiwa na miaka 18-26

    Ukitaka wa hivyo umba wako umshushe wengine wasimuone pia wewe unajua ngap
  11. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Bunge Lipo Gizani, TBC wapo Live Mlimani City. Mawaziri wapo gizani, Makonda yupo Live

    Wanatukana watu au wapo uchi watangazaji?
  12. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania CCM itapasuka vipande viwili

    Inawezekana mtulia ni balozi wa nyumba kumi
  13. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania CCM itapasuka vipande viwili

    Mbona mtulia kaingia
  14. Fundi wa fundi

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Watanzania wangapi walimkataaa au wewe na shida zako
Back
Top Bottom