Fundi wa fundi
Senior Member
- Apr 18, 2017
- 111
- 51
Kuna shida ya ubovu wa barabara ya kutoka Mombo kwenda Lushoto ina mashimo mashimo na pili hakuna ufuatiliaji wa nauli za bei mfano bei ya kilometa moja ya lami ni shilingi 30-40 lakini wao wanachaji 200 kwa kilometa moja ambao mfano mombo bangala ni km5 bei 1000 Mombo Soni ni km 10-15 wanachaji kati ya 2500 hadi 3000 maana bei wanapanga wao na mbunge yupo Latra wapo jambo ambalo ni kero kubwa sana kwa wananchi