Recent content by fundi matobo

  1. F

    Kanuni 10 za kufuata kuongeza ukubwa wa uume kwa asili

    Jaman wana JF nauliza kama kuna njia sahihi na salama ya kukuza au kurefusha uume ambayo haina madhara
  2. F

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Hehe ina uhakika jaman, kuna mtu kashajarubu?
  3. F

    Kijana Mtanzania anayeichezea Timu ya Taifa ya Ureno(U-17)

    Safi sana, ngoja apepee bendela ya tz
  4. F

    Sema chochote ''Kinachosadikika''

    Inasadikika "me ndo HB(hand some boy? jf nzima
  5. F

    Nimekerwa na tamko hili la Waziri wa Afya la kupiga marufuku mafuta ya vilainishi ya mashoga

    Kwani ky yanatumika kwenye ushoga tuh, au hujasoma kaka ilo sio solution la ushoga
  6. F

    Shindano la Bull condom linajenga jamii au linaporomosha maadili?

    Iyo ni biashara kama zingine kila picha izo ili kutea atention ya watu tho ni biashara kuhusu condom ulitaka aweke picha za madaftari au
  7. F

    Ni nani mmiliki wa huu ulimwengu/dunia?

    Ya kaisari muachie kaisari na ya musa mpe musa, huwezi changanya dini na sayansi
  8. F

    Nisaidieni, bwana anataka aninyang'anye watoto

    Dada angu nenda kwenye mashirika ya haki za binadamu hata TAMWA ujue haki zako, unaweza chukulia masiara afu ukawakosa wanao mazima ooho
  9. F

    Baraza la sanaa Tanzania (BASATA), hiki anachoonekana akikisema Joti ni sahihi kwa heshima ya Taifa?

    Afungiwe kwa kosa gani alilofanya, au alichosema kibaya nini apo
  10. F

    Baraza la sanaa Tanzania (BASATA), hiki anachoonekana akikisema Joti ni sahihi kwa heshima ya Taifa?

    Kwani ayo mafuta yanatumika wapi na wapi na kufungia mafuta sio solution... jins ya kusovu tatizo ni kutafuta chanzo chake sio njia yake.. watu wanakulupuka tuu
  11. F

    ITV Kipima Joto

    Tatizo ndalichako anakulupuka tu, analeta siasa kwenye elimu.
Back
Top Bottom