fundi matobo
Member
- Jul 21, 2016
- 14
- 13
Hehe ina uhakika jaman, kuna mtu kashajarubu?
Unaongelea meno yaliyo haribika rangi kwa kunywa maji yenye fluoride kama wenzetu wa kaskazini eg Arusha au meno yenye ukungu wa kawaida, hebu fafanua kidogo.Mahitaji:
Vitu viwili, limau na baking soda au wengine huita bicardonate of soda nayo ni ile wamama huitumia wanapopika maandazi au mikate, inapatikana maduka ya kawaida hata kwa mangi hapo mje ipo.
Namna ya kuandaa;
Chukua limau kubwa moja ikate katikati, chuja maji maji yake kisha changanya baking soda ya unga kijiko kimoja cha chai. Changanya vizuri mchanganyiko huo.
Sukutua kinywa chako vizuri ukitumia mswaki na huo mchanganyiko ndiyo iwe dawa yako ya meno. Sukutua taratibu kama dakika 3 hadi 5 hivi na mwisho jisafishe kinywa na maji safi.
Muhimu: Fanya zoezi hili nyakati za jioni au usiku unapokarabia kwenda kulala na ufanye mara moja tu kwa wiki na si zaidi ya hapo kwani unaweza kuharibu fizi zako kwa dawa hii usipokuwa makini. Ukifanya hivi mara 2 au 4 yaani mwezi mmoja utaona tayari meno yako yameanza kuwa meupe na yanaong’aa na kupendeza.
Vyakula kadhaa vifuatayo vinasaidia kung’arisha meno yako navyo ni pamoja na machungwa, stawrberry, mapeazi, maziwa na mtindi, maji ya kunywa, jibini, broccoil, celery. Tufaa, kitunguu maji, mbegu mbegu (kama karosho, karanga) nk.
Vyakula au kitu vinavyoharibu rangi ya meno ni pamoja na uvutaji tambaku/ sigara, chokoleti, chai iya rangi, kahawa, soda nyeusi na vinywaji vingine baridi vyenye kaffeina.
mtatafutana wewe na nani?ishawahi jaribiwa lakni?? tusije tukajaribu badala ya meno kuwa meupe yanaoza au yanatoka???? tutatafutana umu
Shukran mdauahsante kwa elimu mkuu!
Poa jaribu tuAisee mm yangu kwa ndani yana unjano sijui itanisaidia ngoja nijaribu
tunayapendaHaya Wachagga na mabilionea wa Arusha njooni msafishe meno.
Inaelekea huwa unakazana kusugua kwa nje tu huku ukifanya uzembe kupeleka mswaki kwa ndani!Aisee mm yangu kwa ndani yana unjano sijui itanisaidia ngoja nijaribu