Pesa si yake bali aliwahi kuwa msimamizi ya mabasi flani yalikua yameandikwa sabuni . kikweli hajitambui kwa sasa hana kitu huwa ni mtu wa kujiweka karibu na watu wenye Pesa zao na kuazima magari ya kifahari nakujifanya niyakwake . kiukweli huwa nimpambe tu kwa wenye fedha.
Pesa nyingi za ccm zinaishia kwa akina diamond wakati hawana ushawishi kwa wapiga kura . Ccm acheni ujinga wasani wenu wala hawawezi kutupa ushawishi wa kuipigia kura chama cha majizi .
Kwani rais wa china alipokuja Tanzania kusaini ile mikataba 16 ya kutunyonya alitumia lugha ipi hapa nchini ?. Jitambue kujua kiingereza siyo sifa ya usomi .
Kwahiyo priorities zenu Tanzania ni ulaghai kwa watanzania wasiojitambua . kuwagawia T-shirt na kofia . Acha ujinga wako ukipewa visent kidogo unaridhika hata unatupa uthamani kwa wenzako .
Nimepata habar za ndani ya sisiemu kua wanataka kuandamana ili kumshinikiza mwenyekiti wao ili amrudishe Lowasa ktk chama chao . kama sivyo watarejesha kadi za chama nakujiunga na chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.