DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Ameijenga CHADEMA na Lowassa kanda ya Ziwa.
Ziara yote ya Magufuli imeonekana kummaliza zaidi kwao.
UKAWA tunahitaji watu wa aina ya BULEMBO na MWIGULU katika timu ya Magufuli.
Kutochagua maneno ya kusema kwa Magufuli kumempa Lowassa kura nyini kwani kitendo cha kuwatuhumu wana CCM kuwa hawamuungi mkono kingestahili mkutano wa ndani.
Ziara yote ya Magufuli imeonekana kummaliza zaidi kwao.
UKAWA tunahitaji watu wa aina ya BULEMBO na MWIGULU katika timu ya Magufuli.
Kutochagua maneno ya kusema kwa Magufuli kumempa Lowassa kura nyini kwani kitendo cha kuwatuhumu wana CCM kuwa hawamuungi mkono kingestahili mkutano wa ndani.