Hii haiwezi kuwa ndoa.
Hawa hawawezi kuwa watu wa imani.
Ndoa takatifu haina ubinafsi wa namna hiyo.
Mkisha unganishwa na Mungu hakuna hela ya mume wala ya mke.
BIla shuruti mnajikuta mnashare kila kitu.
TOFAUTI NA HAPO HAYO NI MAIGIZO SIO NDOA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.