Recent content by Fundi mahiri wa Ujenzi

  1. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Huyu harudii tena

    Mbona mwandiko kama wa kiume?
  2. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Tulia wewe. Ukibisha nenda mto fyizimu ukatambike. Ukibisha zaidi nenda mlima iteleshe ukatambike. Ukibisha tena nenda mlima gorusha ukaokote makuso gurosha.
  3. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Kocha Gaborone; Yanga ndio yenye presha zaidi

    Kwa timu ile ni kuboronga.
  4. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Kocha Gaborone; Yanga ndio yenye presha zaidi

    Kocha huyu anajeuri sana. Yanga wamesababisha yote haya kwa kubolonga kule botswana
  5. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe Afunguka; Hatma ya Dickson Job na Clement Mzize Yanga SC, Wapewa ‘Green Light’ Yanga SC

    Aliumia akicheza game ya taifa. Je angeenda uarabuni asingeumia ?
  6. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Hii picha inaongea mengi sana halafu just imagine kuna watu hawajui njaa ni kitu gani

    Uzuri aliyekula mapaja ya kuku na huyu huwezi kuwatambua ukipishana nao. Sasa tumbo lingekuwa lina display ulichokula ingekuwaje?
  7. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Bila shaka yoyote, wewe ni wale mliosoma EM. Kizazi hiki ndio mambo yenu hayo.
  8. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Prove me wrong Hakuna fundi tajiri.

    Nitapataje utajiri wakati ninaemfanyia kazi nae masikini.
  9. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Kusamehe ni Udhaifu

    Ukikua utastarabika. Huta waza tena huu utoto
  10. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Hii haiwezi kuwa ndoa. Hawa hawawezi kuwa watu wa imani. Ndoa takatifu haina ubinafsi wa namna hiyo. Mkisha unganishwa na Mungu hakuna hela ya mume wala ya mke. BIla shuruti mnajikuta mnashare kila kitu. TOFAUTI NA HAPO HAYO NI MAIGIZO SIO NDOA
Back
Top Bottom