Mm nadhani Israel na Iran wakizichapa wenyewe kwa wenyewe hali itakuwa mbaya zaidi kwa Iran na Israel, kwasabau vita yao haitakuwa na mpaka wa wapi pa kupiga
Kula bata acha kusubiri uzee ndio ule bata.
Kuna umri ukifika unaambiwa kula ndizi moja kwa siku
Unaambiwa usinywe bia ina kisukari
Unaambiwa usile nyama choma
Unaambiwa kula mboga mboga bila chumvi
Unaambiwa kwa mwezi usifanye mape...nz zaidi ya mara mmoja
Unaambiwa usisafiri, tumia mda wako...
Kijana wa kiume hapendi kabisa mama yake mzazi kufilimbwa na mwanaume tofauti na baba yake. Haijalishi umri wa mwanaume huyo.
Na nyie wa mama msipende kuwahuzunisha na kuwafedhehesha vijana wenu wa kiume.
Kitaalamu, sura na tabia za mtoto hutokana na urithi wa vinasaba (genes) kutoka kwa wazazi wote wawili baba na mama.
Kila mzazi huchangia nusu ya vinasaba, hivyo mtoto anaweza kufanana:
Zaidi na baba
Zaidi na mama
Au kuchukua mchanganyiko wa sifa za wote wawili
Wakati mwingine hata kufanana...
Wanaoneshana ubabe. Wanao teseka ni raia wa kawaida.
Hao viongozi watoto wao wako Amerika na Ulaya wanakula bata
Halafu leo wanawaambia wananchi wakae relini. Kwanini wasiwarudishe watoto wao wafanye hiyo kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.