Recent content by Fundi mahiri wa Ujenzi

  1. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Hormuz Itafungwa Tena

    Mm nadhani Israel na Iran wakizichapa wenyewe kwa wenyewe hali itakuwa mbaya zaidi kwa Iran na Israel, kwasabau vita yao haitakuwa na mpaka wa wapi pa kupiga
  2. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Lakini ukweli huu ni dawa na ni lazima tumeze. Tutake Tusitake

    Kula bata acha kusubiri uzee ndio ule bata. Kuna umri ukifika unaambiwa kula ndizi moja kwa siku Unaambiwa usinywe bia ina kisukari Unaambiwa usile nyama choma Unaambiwa kula mboga mboga bila chumvi Unaambiwa kwa mwezi usifanye mape...nz zaidi ya mara mmoja Unaambiwa usisafiri, tumia mda wako...
  3. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Alirudi kutoka nje ya nchi na kuanzisha biashara ya genge

    Kwani biashara ya genge ina shida gani mpaka watu wamshangae na kumcheka? Ninaplan ya kufungua biashara ya genge kumbe nitachekwa?
  4. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Hivi wadada wakristo mna matatizo yapi?

    Vipi lkn wanapendeza au hawapendezi?
  5. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Kijana wa kiume hapendi kabisa mama yake mzazi kufilimbwa na mwanaume tofauti na baba yake. Haijalishi umri wa mwanaume huyo. Na nyie wa mama msipende kuwahuzunisha na kuwafedhehesha vijana wenu wa kiume.
  6. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwamba baada ya wiki mbili wataanza tena kutwangana?
  7. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Hakuna mechanism yoyote ndani ya tumbo la mwanamke inaweza kufanya mtoto asifanane na baba yake. Wanaume tegeni sikio

    Kitaalamu, sura na tabia za mtoto hutokana na urithi wa vinasaba (genes) kutoka kwa wazazi wote wawili baba na mama. Kila mzazi huchangia nusu ya vinasaba, hivyo mtoto anaweza kufanana: Zaidi na baba Zaidi na mama Au kuchukua mchanganyiko wa sifa za wote wawili Wakati mwingine hata kufanana...
  8. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ukiwa na akili timamu huwezi kuwatoa raia chambo. Maana yake umeshindwa vita. IRAN kaniangusha sana
  9. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wairan akili kubwa wewe. Makombola hatari waliyatoa store wakayahifadhi katika mabehewa ya tren.
  10. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Kamanda mkuu wa kikosi hatari cha IRGC Mohsen Shahavand ameuawa kwenye shambulizi muda huu

    Siku ya leo wamefanya mauaji ya viongozi wengi. Mpaka kesho itajulikana ni wangapi
  11. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Iran imetoa wito raia walale kwenye vituo vya Umeme na Madaraja ili kuvilinda

    Wanaoneshana ubabe. Wanao teseka ni raia wa kawaida. Hao viongozi watoto wao wako Amerika na Ulaya wanakula bata Halafu leo wanawaambia wananchi wakae relini. Kwanini wasiwarudishe watoto wao wafanye hiyo kazi
Back
Top Bottom