Hormuz Itafungwa Tena

Hormuz Itafungwa Tena

Attachments

  • Screenshot_20250909_192740_Gallery.jpg
    Screenshot_20250909_192740_Gallery.jpg
    144.9 KB · Views: 1
Serekali ya Lebanon majinga kweli eti Iran hana haki ya ku deal na Israel kuhusu Lebanon, na Trump anadai Lebanon haipo kwenye ceasefire walio kubaliana. Pakistan inasema ipo kwenye makubaliano nadhani Shetanyahu hataki kumuwachia Trump akimbie

Sa Iran anataka kujitoa kwenye makubaliano kwa hio vita inarudi pale pale
Bahati mbaya vita hii imeondoka na uhai wa Basha wako Khomenei na wenzake 40 huku Israel na US hawajapoteza hata unywele wa kionjozi yoyote..
 
Israel yeye ni kutibua tu, anajaribu kwa nguvu zote kuzuia deal la amani kati ya Marekani na Iran
Kosa ni Hezbollah....

Israel na Marekani ni mataifa ambayo lazima wapigane vita uchumi ukue..

So as long unataka ugomvi nao lazima wapigane na Wewe

Israel imeonesha uwezo mkubwa sana wa kushambulia na utayari wa vita pengine zaidi ya Mataifa mengi sana Ulaya na NATO.


Israel ikipata Navy itakuwa ni taifa hatari sana kwenye vita.. kwenye hili Dunia tuwe makini sana
 
Bahati mbaya vita hii imeondoka na uhai wa Basha wako Khomenei na wenzake 40 huku Israel na US hawajapoteza hata unywele wa kionjozi yoyote..
We msafisha vyoo hata uwe una majina 50+ mimi nakunasa tu sababu ukipita tu najua huyu ni lile shoga la Tela Aviv
 
Kosa ni Hezbollah....

Israel na Marekani ni mataifa ambayo lazima wapigane vita uchumi ukue..

So as long unataka ugomvi nao lazima wapigane na Wewe

Israel imeonesha uwezo mkubwa sana wa kushambulia na utayari wa vita pengine zaidi ya Mataifa mengi sana Ulaya na NATO.


Israel ikipata Navy itakuwa ni taifa hatari sana kwenye vita.. kwenye hili Dunia tuwe makini sana
Wacha fix wewe kwani hawana Navy hivi wewe unaishi njombe nini punguza kula nguruwe funza mpaa kwenye bonko lako

Israel wana kila aina silaha nawanasumbuliwa na vikosi tu kama Hezbullah na Hamas hakuna watu wasi jua kupigana vita kama waisrael na mtoto wa M7
 
Nukuu kutoka Aljazeera:

"White House: Imesema kuwa mpango wa kusitisha mapigano wenye vipengele 10 uliotangazwa na Iran hauendani na masharti yaliyokubaliwa na Ikulu ya Marekani (White House) katika kusimamisha vita."

Zingatia:

Media za Tanzania hasa hizi za social media zimejawa na ushabiki, kinachoongelewa katika makubaliano ni kingine na wanachopost ni kingine. Hivyo ni rahisi kupotoshwa kama usipo kuwa makini.

Halafu elewa, utawala wa kishia wa Iran ni watu wa Taqiya, wamedanganya wananchi wao kwamba Marekani imekimbia vita na wao wameshinda. Wananchi kwasababu hawana internet wameingia line na kushangilia. Still Marekani na Israeli ndio wanatawala anga la Iran na majeshi yao bado yapo katika bahari wakisubiri amri ya mwisho ya amiri jeshi mkuu.

Pia, pendekezo la kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili lilitolewa na Pakistan, baada ya kufanya mazungumzo na Iran na Marekani.

Iran ilikubali pendekezo hilo kwa masharti kwamba miundombinu yake isishambuliwe, ili kutoa nafasi ya kuanza mazungumzo rasmi.

Sharti jingine lilikuwa kufunguliwa kwa Mlango wa Hormuz, jambo ambalo Iran tayari imelitekeleza kwa shinikizo kutoka Marekani.

Kingine, Israeli isingekubali kusimamisha vita kwa masharti ya hovyo. Waliona lipo jambo la kufaa ndani yake ndio maana Netanyahu akakubali kasoro pendekezo la kutoshambulia Hezbollah ambalo pia Trump amelikataa. Ndio aje kukubali kutoa majeshi yake mashariki ya kati?

Hivyo mtu anayeipa Iran ushindi kwa wiki mbili za kusimamisha vita basi ni mgonjwa, hajui geopolitical inavyofanya kazi. Iran sasa hivi haiuzi mafuta maana bomba la kupeleka mafuta Kharg lilipigwa juzi na Israeli. Na moja ya demand ya Trump ni mafuta. Na sharti lingine zito la Trump hataki kufanya mazungumzo na IRGC bali utawala mpya ndani ya Iran.

Nitawaletea hapa uchambuzi wa tathimini ya vita ndio mtaona nani aliyepoteza hadi sasa.
 
Marekani anakataa Lebanon haimo kwenye mpango wa kusitishwa kwa vita wakati Pakistan na Iran wanadai Lebanon imo sasa ukweli uko wapi na ushahidi kwamba kwenye mazungumuzo Marekani alikubali Lebanon iwe kwenye mpango.
 
Kosa ni Hezbollah....

Israel na Marekani ni mataifa ambayo lazima wapigane vita uchumi ukue..

So as long unataka ugomvi nao lazima wapigane na Wewe

Israel imeonesha uwezo mkubwa sana wa kushambulia na utayari wa vita pengine zaidi ya Mataifa mengi sana Ulaya na NATO.


Israel ikipata Navy itakuwa ni taifa hatari sana kwenye vita.. kwenye hili Dunia tuwe makini sana
Israel isipopewa silaha na marekani na kulindwa kidiplomsia kwenye UN ingebehave kama mataifa mengine. Israel haiwezi kupambana na adui powerful bila kwenda kutembeza bakuli washington
 
Nukuu kutoka Aljazeera:

"White House: Imesema kuwa mpango wa kusitisha mapigano wenye vipengele 10 uliotangazwa na Iran hauendani na masharti yaliyokubaliwa na Ikulu ya Marekani (White House) katika kusimamisha vita."

Zingatia:

Media za Tanzania hasa hizi za social media zimejawa na ushabiki, kinachoongelewa katika makubaliano ni kingine na wanachopost ni kingine. Hivyo ni rahisi kupotoshwa kama usipo kuwa makini.

Halafu elewa, utawala wa kishia wa Iran ni watu wa Taqiya, wamedanganya wananchi wao kwamba Marekani imekimbia vita na wao wameshinda. Wananchi kwasababu hawana internet wameingia line na kushangilia. Still Marekani na Israeli ndio wanatawala anga la Iran na majeshi yao bado yapo katika bahari wakisubiri amri ya mwisho ya amiri jeshi mkuu.

Pia, pendekezo la kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili lilitolewa na Pakistan, baada ya kufanya mazungumzo na Iran na Marekani.

Iran ilikubali pendekezo hilo kwa masharti kwamba miundombinu yake isishambuliwe, ili kutoa nafasi ya kuanza mazungumzo rasmi.

Sharti jingine lilikuwa kufunguliwa kwa Mlango wa Hormuz, jambo ambalo Iran tayari imelitekeleza kwa shinikizo kutoka Marekani.

Kingine, Israeli isingekubali kusimamisha vita kwa masharti ya hovyo. Waliona lipo jambo la kufaa ndani yake ndio maana Netanyahu akakubali kasoro pendekezo la kutoshambulia Hezbollah ambalo pia Trump amelikataa. Ndio aje kukubali kutoa majeshi yake mashariki ya kati?

Hivyo mtu anayeipa Iran ushindi kwa wiki mbili za kusimamisha vita basi ni mgonjwa, hajui geopolitical inavyofanya kazi. Iran sasa hivi haiuzi mafuta maana bomba la kupeleka mafuta Kharg lilipigwa juzi na Israeli. Na moja ya demand ya Trump ni mafuta. Na sharti lingine zito la Trump hataki kufanya mazungumzo na IRGC bali utawala mpya ndani ya Iran.

Nitawaletea hapa uchambuzi wa tathimini ya vita ndio mtaona nani aliyepoteza hadi sasa.
Wewe ndiye unaju habari kuliko hata vyombo vya habari zote duniani hahaha

Israel hawakupendezewa kabisa na hi vita kusimama usilete uwongo wako
 
Mwanzoni ilikataa kuwa Hormuz haijafunguliwa sasa hivi Unakula Matapishi yako mwenyewe kwa kusema itafungwa tena
We kenge tatizo lako huwa hufahamu Hormuz imefunguliwa baada ya ceasefire na sasa Iran anasema ataifunga tena sababu ceasefire ilikuwa including Israel na Hezbullah lakini USA na Israel wamesema hakuna Lebanon wakati Pakistan kasema pia Lebanon
 
“We are prepared to return to combat at any moment required. Our finger is on the trigger,” Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said on Wednesday.

He said the pause in fighting does not mark the end of Israel’s campaign against Iran.

“This is preparation on the way to achieving all of our objectives. Iran is entering these negotiations beaten, weaker than ever,” he said.

He added that the ceasefire came into effect “in full coordination with Israel” and said it does not include operations against Hezbollah in Lebanon.

“We are continuing to strike forcefully. Hezbollah suffered the most severe strike today since the beeper operation,” he said.
 
Iran amtie Adabu Israel? au Iran anautaka tena inaonesha anaenjoy. Ujinga wa Iran yupo radhi kuwatoa muhanga raia wake asiowapenda haswa
We kenge Iran wanapenda nchi yao hawaogopi kufa tofouti na wale makenge wanao jivicha kuanzia viongozi mpaa wananchi wanaishi kwenye mashimo hahaha siku ngapi wapo kwenye mashimo hahaha

Tela Aviv imebaki kama Gaza kwa tarifa yako Iran wanahuruma tu hako kataifa fake kaliba jina la Prophet Jacob au Yakobo kwa kiswahili kakipigiwa Water Desalination Plant na Power station kamekwisha.

Sikalijidai kameimaliza Hezbullah mpaa leo kamemshindwa Hezbullah katamuweza Iran
 
Back
Top Bottom