Hivi wadada wakristo mna matatizo yapi?

Hivi wadada wakristo mna matatizo yapi?

unavaa nguo inayokubana,sketi fup ,transparent alafu upo ibadan,unatuonyesha nn maana sio bure unakosa mume kwa sababu ya tabia yako chafu ebu waangalie wenzen waislamu,wanavyojiheshimu.hiyo n nadhir kuwa waislamu wapo kwenye maadil.ila wakristo wapo kinyum na maandiko ndio mm nataman kuoa muislam,maana n wazur na wanaheshima.venye mtu anavaa ndivyo alivyo ila nawarai wadada wakirsto heshimun ibaada,n sehem patakatifu.fanya huo uchaf ukiwa nje sio ibadan,mnaleta dhamb ibadan
Vipi lkn wanapendeza au hawapendezi?
 
Hata ndoa za mashoga pia sio issue kuwafungisha ndoa kwenye nyumba za ibada za wagalatia,hata kwenda hija Vatican na mashoga sio issue walisha ruhusiwa,hata kuwabariki mashoga pia sio issue coz Papa alisha ruhusu.
Jikite kwenye mavazi, acha kuibua mjadala wa ushoga, kwenye Uislamu wa Ushia wanawake wanaruhusiwa mapenzi ya njia zote.
 
Siku moja hawa wadada bhana , tulikuwa job ikatokea taarifa ya msiba ghafla wa mother wa fulani ..Basi ikatangazwa lazima watu waende maana huyo mzee aliyefiwa alikuwe kwenye safu ya wakurugenzi.

Nilishangaa wadada walizama chimbo kwenda kununua kanga na vitenge..Alitumwa tu mtu chap kariakoo hapo akaleta mzigo ...Wamevaa kama sio wao 🤣
Kuvaa khanga au vitenge msibani ni Islamic/swahili influence katika jamii ya Kitanzania bara. Hakuna tatizo kwa wanawake kuvaa sketi, gauni au suti msibani.
 
Siku moja hawa wadada bhana , tulikuwa job ikatokea taarifa ya msiba ghafla wa mother wa fulani ..Basi ikatangazwa lazima watu waende maana huyo mzee aliyefiwa alikuwe kwenye safu ya wakurugenzi.

Nilishangaa wadada walizama chimbo kwenda kununua kanga na vitenge..Alitumwa tu mtu chap kariakoo hapo akaleta mzigo ...Wamevaa kama sio wao 🤣

Wavae kimsiba 24/7 just in case sio.
 
cha ajabu anayelalamika na kulia lia kila siku post after post hapa jf khs wanawake ''kukosa mume" ni wanaume badala ya wanawake wenyewe, hili jambo sijawahi kulielewa nchini tanzagiza, si ilipaswa iwe kinyume chake, au? ...
 
cha ajabu anayelalamika na kulia lia kila siku post after post hapa jf khs wanawake ''kukosa mume" ni wanaume badala ya wanawake wenyewe, hili jambo sijawahi kulielewa nchini tanzagiza, si ilipaswa iwe kinyume chake, au? ...
Maajabu hayatokaa yaishe!
 
Back
Top Bottom