Recent content by Fukuyama

  1. F

    Masha, Mkumbo, Mwigamba, Albert Msando na Katambi Mwenyekiti BAVICHA, wajiunga CCM

    Hakuna jambo jipya hapo.... hao ni waasi kama waasi wengine katika vyama vyao
  2. F

    Rais Magufuli: Msimamo wangu wa kutoteua upinzani bado upo palepale

    Hivi Zanzibar siyo Tanzania? Au alimanisha ukiongelea Znz anawasemea wazanzibari?
  3. F

    Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

    Jamaa anasema alipata taarifa za wasanii wengi sana wakipaza sauti zao kwa umma kuhusu kutekwa kwao. Je alisoma kwenye mitandao au nani alimwambia hayo? Je simu zao zilikuwa wapi wakati wote wakiwa mateka? Roma anasema hajui walikotupwa lkn baadae akijifungua then akawafungua wenzake wakaanza...
  4. F

    Hawakutania...when You become public enermy

    Hata kumpost huku JF ni makosa makubwa sana
  5. F

    VIPODOZI

    Duu kumbe binadamu tumetokana na nyani ee
  6. F

    Sababu za kutumbuliwa aliyekuwa Katibu Mkuu Nishati na Madini

    Safi mkuu, tunaendelea kupata elimu mubashara kupitia forum yetu hii.. ila hii ngoma si ya kittoto ama za Tz au mwekezaji.
  7. F

    Saga la Makonda: My Take

    Labda shilawadu ni TBA who knows that[emoji124]
  8. F

    Hivi ina maana Rais huwa hawasiliani na Mawaziri wake?

    Umesahau kuhusu Simbachawene na wamachinga kule mwana mkuu
  9. F

    Kama TLS watachagua mwanasiasa itakuwa ndio mwisho wa uhusiano wa serikali na TLS

    Hivi kuna member wa TLS asiye na chama cha siasa? Au ukiwa nje ya ccm basi wewe ni mwanasiasa? Mungu ataamua tu, yetu macho
  10. F

    Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa TLS

    TLS tuwaachie wahusika mkuu. Hakuna mwana TLS asiyekuwa na chama
Back
Top Bottom