Sababu za kutumbuliwa aliyekuwa Katibu Mkuu Nishati na Madini

Hawa watu ni vilaza wote, kuanzia magu, ndugai na kakoko, siyo weledi ni watu wanapenda kutumia nguvu
badala ya akili. acheni kutafuta kiki juu ya hili maana hii si haramu na wala siyo utoroshaji na uwezo wa kuchenjua siye hatuna hata baaada ya miaka kumi ya magu na hiyo hasara msitake kuwabebesha watanzania bila sababu yeyote ile.

zaidi ya miaka kumi iliyo pita upinzani uliomba wapitie hiyo mikataba ya madini waione lakini ndugai na magu ndio waliokuwa bungeni wakipinga watanzania wenzao kufanya huo uchunguzi na upitiaji hiyo mikataba kwa kudai kuwa hiyo ni siri ya serikali na hairuhusiwi hiyo mikataba kupitiwa.

Ndugai alikuwa mwenyeikiti wa kamati ya bunge ya aridhi na mazingira wananchi wa Tarime walilalamika juu maji ya mgodi wa nyamongo unatiririsha maji ya kemikali kwenda mto tigite na kuwasabibishia madhara pamoja na vifo lakini waliishia kuhongwa na mgodi na akawasaliti watanzania wenzao na bunge halikuwasaidia wananchi mpaka leo.
Sasa ndugai anapotaka kuunda tume leo maana wanataka tena rushwa. kwa hili mikataba iko wazi wa wanapopakia hizo concentrate TMAA na TRA huwa wapo. pia tujue hata hiyo dhahabu huwa siyo ya watanzaia bali ni ya wawekezaji.
 
Siasa ni nyingi sana nchini mwetu. Makontena hayana madini bali mchanga unaobakia baada ya mchakato wote unaofanyika kwenye process plant.

Kaka yangu Kakoko kaingia mzima mzima kwenye mtego wa siasa, anaicheza ngoma ya mkulu. Mawe ya dhahabu yamekuwa yakisafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa njia tofauti na unavyosafirishwa mchanga.

Alhamisi ni siku ya usafirishaji wa yale mawe ya dhahabu, yanasafirishwa kwa ndege maalum kutokea pale pale Bulyanhulu.

Na mchanga ndio huo unaopakiwa kwenye malori na kuletwa Dar zamani ukisafirishwa na malori mpaka Isaka na pale unapandishwa kwenye treni mpaka bandarini Tanga.

Wakuu wa awamu zilizopita wanayo mengi ya kuulizwa kuhusiana na issue hii, wala sio ya kuivamia kichwa kichwa.
 
Siyo 90% ni madini. Bali uhakika wa kuwepo madini ndo 90%. Ila hayo madini yaliyopo ni % ngapi haujulikani ndo maana wanataka mchanga uchunguzwe ila kusema kuna 0.02% ni uongo.
 
Siasa ni nyingi sana nchini mwetu. Makontena hayana madini bali mchanga unaobakia baada ya mchakato wote unaofanyika kwenye process plant.

Kaka yangu Kakoko kaingia mzima mzima kwenye mtego wa siasa, anaicheza ngoma ya mkulu. Mawe ya dhahabu yamekuwa yakisafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa njia tofauti na unavyosafirishwa mchanga.

Alhamisi ni siku ya usafirishaji wa yale mawe ya dhahabu, yanasafirishwa kwa ndege maalum kutokea pale pale Bulyanhulu.

Na mchanga ndio huo unaopakiwa kwenye malori na kuletwa Dar zamani ukisafirishwa na malori mpaka Isaka na pale unapandishwa kwenye treni mpaka bandarini Tanga.

Wakuu wa awamu zilizopita wanayo mengi ya kuulizwa kuhusiana na issue hii, wala sio ya kuivamia kichwa kichwa.
Safi mkuu, tunaendelea kupata elimu mubashara kupitia forum yetu hii.. ila hii ngoma si ya kittoto ama za Tz au mwekezaji.
 
Siyo 90% ni madini. Bali uhakika wa kuwepo madini ndo 90%. Ila hayo madini yaliyopo ni % ngapi haujulikani ndo maana wanataka mchanga uchunguzwe ila kusema kuna 0.02% ni uongo.
0.02%g/t hivyo ndivyo inavyoandikwa ukiiacha 0.02% ni vigumu mtu kuelewa, hii maana yake katika mchanga wa kontena moja unaweza pata 4kg ya dhahabu
 
Kama 90% ni dhahabu basi barabara zetu zitakuwa zinaharibika kwa uzito uliokithiri, mizani watakuwa walipwa fedha kibao .... watch it ,..not to that extent ...

Kabisa; kama 90% ya concentrate ni dhahabu sasa zile processing plants za Buly na Buzwagi za kazi gani? Na Yale madege yanayotuaga kila wiki ndani ya migodi kuchukua gold bars yanabebaga nini? Yanafuata only 10% ya dhahabu?
 
Nami naamini kabisa kuwa kuna dhahabu na Madini mengine mengi tu. Hao wawekezaji wamekuwa wakitumia loopholes za wafanyakazi wetu kutokuwa waaminifu kuwahonga pesa nyingi na hatimaye kufanya kazi kulingana na matakwa yao (wawekezaji). Baada ya Rais Magufuli kupiga marufuku usafirishaji huu wa kinachoitwa makinikia ya dhahabu au kwa jina maarufu mchanga wa dhahabu na baadae usafirishaji kuendelea , ndipo hawa wawekezaji walianza kupack dhahabu yenyewe na kuita mchanga kwa kuwa walielewa punde serikali itastuka na wao kupoteza faida kubwa waliyokuwa wanapata.
 
Mimi nilimsikiliza rais nikashangaa, kumbe aliambiwa na Kakoko. Sasa kuna ubaya gani kuleta wataalamu wachukue sample wapime report iwekwe wazi?.
Nini tatizo la ushauri wa Katibu mkuu?
Au hiyo ya kuwekwa wazi report?

Simple logic, mgodini kuna ulinzi mkubwa kwa ajili ya madini yaliyopo.
Sasa waweke kwenye container yakalale pale bila ulinzi???
Unajua mkuu nchi yetu ina mavi-ongozi majinga sana, halafu jamaa anaambiwa waunde timu ya uchunguzi ichukue sampli ya mchanga kwenye hayo makontena wakapime anagoma eti kisa sisi ni watendaji wa serikali. Sasa wanataka tuwaamini hata kama wanaongea pumba. Ndugai naye akauliza swali la kijinga kabisa eti mtu gani atasafirisha mchanga wenye 0.02% ya dhahabu kwenda Japan kusafisha mchanga? Anasahau kwamba kama hiyo 0.02% ni dhahabu kweye container 1 labda liwe na 40 tons maanake ni kama 8 kg za dhahabu kwa container 1. Hii ikigeuzwa kuwa pesa itakupa pesa kubwa sana, kwa mfano tuseme bei ya leo kwenye soko la dunia 1kg ya dhahabu ilikuwa US$ 40,445 zidisha mara 8 kg uone kama siyo zaidi ya dola laki 3 na ushee! Sasa kwa nini mtu asifanye hiyo biashara? Wakati huo gharama ya kulisafirisha hilo container mpaka Japan ni kati ys US$ 3,900 - 4,900. Nchi yetu ina shida mahali, lazima tujiulize kama Taifa!!
 
Baada ya kauli hiyo, Spika alimhoji mwakilishi wa TMAA “kwa kufikiri kwako unadhani kuna mwekezaji anaweza kufanya biashara kwa faida ya 0.02? Atoe gharama za meli, usafiri na bandari.”
Alijibu haiwezekani.
Huyu jamaa wa TMAA naye hajiamini. Haya ndo madhara ya kusoma shule nusu nusu huku ukikalia kukariri vitini! Eti anakubaliana na swali la kijinga kutoka kwa Ndugai. Kwa nini asingemfanyia mahesabu hapo hapo akaona ni jinsi gani jamaa hiyo biashara lazima waifanye? 0.02% kwa container moja ni kilo nyingi sana za dhahabu!! Lazima iwalipe!
 
Mkuu hujaelewa....rudia kusoma kauli ya mhadisi ...anahuhakika wa 90%...anaaamini kabisakabisa. hajasema kilichomo 90% ni madini. He has 90% confidence what is inside mostly gold....He believe highly.

Aliyekuwa Katibu Mkuu huyo alitoa ushauri ambao ulionekana kupingana na maelezo ya Mhandisi Kakoko ambaye alidai ana uhakika wa asilimia 90 kuwa kilichomo kwenye kontena hizo ni madini na siyo mchanga.

walau wewe umesoma na kuelewa na hujachanganya hisia zako za itikadi na mihemko kuchambua mambo!
Mhandisi Kakoko alidai ana uhakika wa 90% kilichomo mule ni dhahabu ila waungwana watabadili chochote ilimradi kitoshe kuwa sabab ya kusema vibaya,walau kidogo!
 
Yaani Kontena liwe na Madini ya DHAHABU 90%? Normal thinking inakataa. Ikiwa ni kweli basi sisi ni matajiri namba 1 kwa Dhahabu.
 
Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.
Yaani kama kontena lina tani 10 za huo mchanga, basi maana yake ni kuwa humo ndani ni tani 2560 ambapo 90% ni zaid 2300tani za Dhahabu.
Kwa bei ya dhahabu Tsh 90,000,000 kwa kilo basi hizo ni Tsh 2300x90, 000,000x1000 Karibu Trillion 18
 
walau wewe umesoma na kuelewa na hujachanganya hisia zako za itikadi na mihemko kuchambua mambo!
Mhandisi Kakoko alidai ana uhakika wa 90% kilichomo mule ni dhahabu ila waungwana watabadili chochote ilimradi kitoshe kuwa sabab ya kusema vibaya,walau kidogo!
Kwa imani ya kuwa anaamini 90 kuwa ndani kuna dhahabu je ni kwa asilimia ngapi, je uhakika wake huo ni 10pc, 80pc au 100%?
Mimi nadhan alikosea.
 
Kwa imani ya kuwa anaamini 90% kuwa ndani kuna dhahabu je ni kwa asilimia ngapi?
(hii haikua hoja ya msingi hapa,ishu ilikua ule ni mchanga tupu au kuna dhahabu ndani!??jamaa akasema ana uhakika 90% mule kuna dhahabu.asilimia ngapi ya dhahabu!???hilo ni swali lako mkuu,halikusemwa pale!)

je uhakika huo ni kwa asilimia ngapi?
(
Jamani,alisema kwa 90%)

Mimi nadhan alikosea.
Mi nafikiri muungwana alikua sawa sana maana alijibu swali na alichagua kufanya ambacho ana uhakika nacho
 
Kelele za mchanga zimekuwa nyingiii hadi zimefunika mambo ta Daudi Bashiite. Another political spin.

Simple and clear.
Copper concentrate ina madini mbalimbali, kwa uchache tu sample zinazo chukuliwa site madini yanayobainishwa na kulipiwa mrahaba ni Copper, Silver, na gold.
Mara nyingi vipimo huwa vinarange hivi.
Gold -150g/t to 300g/t
Copper -15 to 20%
Silver-150 to 300g/t kwa container moja la futi 20 uzito wa mchanga ndani unarange 20tones ambayo ni sawa na average ya kilo 5 za gold na silver na 0.04kg copper kwa kila container.
Alafu bado watu wanapoteza kodi kiduchu tunazopata kuunda tume kwenye mabishano ya huu ni mchanga au madini.
Huo ni mchanga wenye madini mengi tu, shenzi kuliko nyie.
 
Hapana hawajamquote vibaya nilimsikia jana kwenye taarifa ya habari tena akisema kwa msisitizo kuwa ni 90% Gold, nilibaki nikishangaa
Basi tuseme kama contena la tani 70 litakuwa na madini mchanganyiko kilo 2000 basi 90% dhahabu yaani kilo 1800 na hizo zinazobaki shaba,silver,cobatt na n.k ni kilo 200,sawasawa?
 
Unajua mkuu nchi yetu ina mavi-ongozi majinga sana, halafu jamaa anaambiwa waunde timu ya uchunguzi ichukue sampli ya mchanga kwenye hayo makontena wakapime anagoma eti kisa sisi ni watendaji wa serikali. Sasa wanataka tuwaamini hata kama wanaongea pumba. Ndugai naye akauliza swali la kijinga kabisa eti mtu gani atasafirisha mchanga wenye 0.02% ya dhahabu kwenda Japan kusafisha mchanga? Anasahau kwamba kama hiyo 0.02% ni dhahabu kweye container 1 labda liwe na 40 tons maanake ni kama 8 kg za dhahabu kwa container 1. Hii ikigeuzwa kuwa pesa itakupa pesa kubwa sana, kwa mfano tuseme bei ya leo kwenye soko la dunia 1kg ya dhahabu ilikuwa US$ 40,445 zidisha mara 8 kg uone kama siyo zaidi ya dola laki 3 na ushee! Sasa kwa nini mtu asifanye hiyo biashara? Wakati huo gharama ya kulisafirisha hilo container mpaka Japan ni kati ys US$ 3,900 - 4,900. Nchi yetu ina shida mahali, lazima tujiulize kama Taifa!!

Nasikia wanapendekeza kusafiri kwenda migodini, mpaka yanakokwenda makontenna. yaani mawazo ya njaa njaa tu kufikiria kujaza choo.
 
Ukimuangalia tu yule kakonko, basi utajiridhisha kwamba ana matatizo sijui ilikuwaje akaaminiwa kitu muhimu kama Bandari. Port is not about engineering pekee jamani, it's a business.
 
Back
Top Bottom