Yan wakat inaondoka tulidhani inaelekea kwenye njia yake ya kujiandaa kupaa Mara ikabadili uelekeo rubani akaipeleka wanapojazia mafuta kwenda kufunga kifuniko cha tanki lake ..hata kwao haikuwa kitu cha kawaida kusahau kifuniko kufunga...
Dah nlianza na Air Tanzania kwenda Kigoma sikulala siku 3 ...nkasafiri salama wakati wa kurudi kulikuwa na mawingu ndege ilikuwa inayumba na kushuka kwa kasi kama dakika HV kila mtu analia mi nkawa nasubir kishindo tu..tulivyoashuka dar ndo tukaambiwa kumbe ndege ilipotea had njia mana tulipitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.