Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,052
- 18,012
Hivi ZUKU wako poa ?
Aah waapii!!
Hivi ZUKU wako poa ?
Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.
AZAM TV nasikia haionyeshi ITV.EATV na CAPITAL TV.ni kweli? naishi umbali wa km 40 toka mjini Dodoma je nitashika?
mkuu mie hili niliwahi kusema humu humu...kuwa star times wanaingia HASARA ..mie pia nilifanya tafiti ndogo tu..karibu nyumba nyingi zenye STAR TIMES hawalipi ...hii ni HASARA kwao...Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.
IDEGENDA ni kijiji kwetu,nashangaa ni jina la mtuWe unaifahamu ipi mkuu..
IDEGENDA ni kijiji kwetu,nashangaa ni jina la mtu
Hiki kng'amuzi huenda
kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila
iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye
vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila
mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje
sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.
kuna mdada mmoja Tangu annue mwaka wa pili na nusu sasa hajawahi kulipia king'amuzi hiki!
Nilisha achana nao siku nyingi tu. Nipo na Continental decoder Nina uwezo hata kurekodi kipindi cha chanel fulani halafu nakuja kutazama baadaye wakati huohuo naendelea kuangalia chanel nyingine wakati recording inaendelea. Hakuna malipo ya kila mwezi.
huwa unaenda kuangali TV kwake???!!
Hivi ZUKU wako poa ?
Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.