Naliona 'anguko' la StarTimes...

Naliona 'anguko' la StarTimes...

Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.

Nilisha achana nao siku nyingi tu. Nipo na Continental decoder Nina uwezo hata kurekodi kipindi cha chanel fulani halafu nakuja kutazama baadaye wakati huohuo naendelea kuangalia chanel nyingine wakati recording inaendelea. Hakuna malipo ya kila mwezi.
 
wanategemea tv1 kuja kuwa mkombozi wao nahisi kwa sasa wanaifanya bure ile baadae waifanye iwe ya kulipia ili wawavute watu!! mi nahisi cha msingi kabisa ni kuongeza channel za maana hasa za enteirnment kwa mfano za comedy mfano dstv kuna channeli inaitwa sony max yaani so far ni my favourite tv channel nahisi pia startimes wakiwa serious wanaweza kuipata hii cahnnel kwa uweli ni nzuri sana na nyingine nyingi kama vile za diocumentary wafanye waziongeze
 
Mi mazeee ninampango wa kuamia Azam Tv niwe naangalia VPL maana Startimes nao nimafisadi kama wale wa chama cha kidum
 
Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.
mkuu mie hili niliwahi kusema humu humu...kuwa star times wanaingia HASARA ..mie pia nilifanya tafiti ndogo tu..karibu nyumba nyingi zenye STAR TIMES hawalipi ...hii ni HASARA kwao...
 
Hiki kng'amuzi huenda
kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila
iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye
vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila
mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje
sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.


kibaya zaidi wakuu samsung anaingiza kama mvua tv zake zenye king'amuzi mumo kwa mumo. We ni kufunga tu antena. Unakamata local zote na za nje kichele bureee.
 
Nilisha achana nao siku nyingi tu. Nipo na Continental decoder Nina uwezo hata kurekodi kipindi cha chanel fulani halafu nakuja kutazama baadaye wakati huohuo naendelea kuangalia chanel nyingine wakati recording inaendelea. Hakuna malipo ya kila mwezi.

nijuze juu ya huduma za contnental,Ninasikia mara picha zinaganda,mara custom care hawapokei simu,mara channel za vifurushi vya bei zaidi huwezi kupata.Nakimaind king'amuzi hicho kwa jinsi wanavyokitangaza japo nikiipigia namba inayotangazwa haipokelewi,mara nyingine haipatikani na haijibu sms.
 
Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi. Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.

DStv itabaki kuongoza tu hata iweje .
 
Back
Top Bottom