Yote yanawezekana hakuna kumuamini mmarekani kila taifa linajitegemea lakini pia tunasaidiana kama binadamu. Inawezekana imeanguka kwenye milima ya Uzbekistan au baharini nobody knows kwani ndege nyingi zimepotea bila kujulikana kama ya air India iliyoanguka France ilipatikana baada ya miaka 50. Lakini kwa hali iliyopo sasa na ubabe wa mmarekani anything can happen
Nilisikia kwenye radio jana kwamba miaka ya 70 kuna ndege ndogo ilipotea ikitokea DSM kwenda Zanzibar or vice verse. Mabaki ya ndege hiyo yalipatikana chini ya mlima Kilimanjaro baada ya wiki mbili. Inawezekana wanakoitafuta siko ilikoangukia na rubani mmoja inasadikika alichakachua mawasiliano ya radar.