Huu ndio wcwc wng isijekuwa hajampenda hyo mwanamke ila anafanya tu kumkomoa fulani itakuja kula kwake sababu yy ndie atakaeishi na hyo mwanamke ila km kweli kabisa kampenda aoe wakigombana cjui nn watajua wenyewe!
Dah... naona bdo unazunguka jamaa kauliza "ww ushawahi kuacha ama kuachwa? ukajibu tofauti kabsaaaaa kwamba "mm cjaoa" jamaa akakwambia mada yko imeongelea kuhusu kuachana tu co lazma kwenye ndoa so jibu swali acha maneno meeengi hujui baada ya kumpa jibu jamaa anataka kuongea nn mnatukosesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.