Recent content by fst

  1. F

    Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli

    Kwanza huyo lulu kafungwa kifongo kidogo cana mm nilitajia angepigwa nvua hata ya myaka 30 .. Ilakwavile malehemu hana haki basi ndohivyo tena
  2. F

    Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli

    Sasa achane na wake za watu.. Akiludia tena atakutana na chuma!!
  3. F

    Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

    Ck zote ccm vichwa vyao hua hajatulia..kipindi vinipoanza kutulia huwa wanayaona makosa yao..ndipo wanaanza kuhangaika kukihama chama chao..
  4. F

    Mhe. Tundu Lissu kuhamishiwa India kwa matibabu zaidi

    Ingekuwa chadema inahusika kumupiga lisasi tundulisu bas chadema wote wangekua wameishia ndani lkn kwavile wahusika niwao wenyewe ndomaana mpaka sasa wanaendelea kuishi kwa matukio na maigizo huku watu wasiokua na hatia wanaumia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    KISUTU, DAR: Yusuf Manji afutiwa kesi ya Uhujumu uchumi

    Shida ya serikari hii imekua ya visasi sasa ninajiuliza hawa mapadiri na maasikofu pamoja na mashee wanaona eti hii ndio serikari nzuri kuwa kutokea tz hivi huwa wanakurupuka au nawao wamepewa ki2 kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    ‪Jukwaa la Wahariri(TEF) laikemea CHADEMA kwa kuwafukuza Waandishi wa TBC ktk Mkutano wa Tundu Lissu

    Hawao Tbc hua ni tv ya ccm sasa ilifatanini huko.. Musingeishia kuwafukuza mngewapiga na makofi iliwajitambue Sent using Jamii Forums mobile app
  7. F

    Nani kumrithi Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo?

    Kwahuyu laisi ngeleja asahau uwazili..akizubaa nae atakamatwa huyujamaa hatabiliki hatakidogo wala haaminiki..ni laisi asiyesomeka Sent using Jamii Forums mobile app
  8. F

    TRA waifungia Sahara Media(Star TV, RFA) kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 4.5

    Hawa ccm niwatu wakuigiza hakunajipya hapo..hakuna chakodi wala makinikia yotehayo niulaghai wa kisiasa hakuna cha kodi wala matilioni tuombeane maishamalefu mtakuja kulikumbuka hili
  9. F

    John Cheyo: Rais Mwinyi yuko sahihi, Magufuli anastahili kuongezewa muda wa kuongoza

    Huyu cheyo nampigiadebe nduguye..halafu amezeeka mpaka nahakili nayo imezeeka
  10. F

    Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

    Hivi mwajuaje kama baba yake alimkutaa mtoto nakama mama alipata mchepko halafu baba akajua naakaamua kumtoanduki..akaondoka na kichanga chake..mm nishauli sivizuli watoto kuingilia ugonvi wa wazazi maana huwezijua waligombania nini
  11. F

    Msaada: Hivi ni vidonge gani?

    Sina chakusema ilakama nikweli nividonge vya Arv basa nakupa pole maana mawazouliyonayo kwasasa siyomazuli
  12. F

    Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

    Kwakukosana na babayake hilo linaonesha jinsi alivyo mjinga wawezaje kukosana na baba mzazi kisa maneno yamama hawa wakinamama huwawanamanene maneno sana hasawanapoona watoto wameanzakupata fedha
  13. F

    The Interview: mshana Jr.

    Hapo nimeanza kuona faida za uchawi japo hukukwetu tunaambiwa nizambi
Back
Top Bottom