Babu kuna wanawake thy treated like queen/an Angel lakini kupigiwa ni suala mtambuka.....Hivi una taarifa Mwanamke anaweza kuamua tu kufanya na mtu mwingine hata yeye hamjui na unampa hizo care mnazoambizana hapa.Jidanganyeni
..Huyo somebody anasaidia kuvuruga Ndoa na Mahusiano ya Wapendanao..Mimi sio msomi wala mjuzi sana ila naamini Mapenzi hayana sehemu ya Elimu kwamba utaenda kuipata..Yanakuja tu,na kwa nini yanafeli?Naamini yanafeli ukianza kuingiza huu ujuaji mara semina kwa chriss mara sijui vitu gani hakuna...
...Kumegewa au kutomegewa Inategemea Mwanamke ana huruma na wewe kiasi gani....hilo ndo jibu sahihi mzee hizi unazotuambia ni siasa na vitu vya kukupa unafuu wa muda mfupi tu....Huruma yake na malezi yake ndiyo ponapona yako.Mwanamke ana Vinasaba vya Kinyonga.Anaweza akatamani tu kumegwa na Jitu...
..Kama umeweza kujua Elimu ya kujiunga na Jamii forum...sina uhakika kama huna Elimu ya Ukimwi kiasi hicho.lah sivyo wewe ni Mvulana(mtoto mwenye jinsia ya kiume) na siyo MWANAMME
Maungo ya mwanamke ni kitu chenye thamani sana kwa Mwanamme...bahati mbaya asilimia 45 ya wamiliki wa maungo hayo hawatambui kama kuyaficha ndiyo kuyaongezea thamani......
....anatakiwa kujua hapakuwa na camera kwa hiyo hzo picha ni sanaa inayotokana na simulizi za maandishi au maneno ndo tunatengeneza picha kwa mfano wa kitu/mtu....
...Haki ya Mungu kwa maelezo yako hata wewe unakataka hako katoto....usirogwe ukakapiga mti lazima Mungu akuaibishe kwa mjomba wako au jamii inayokuzunguka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.