Recent content by french

  1. F

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    natafuta kifaa cha kujanga hatch kama hii ya mwezi mchanga
  2. F

    Iran kwa nini wanashambulia hadi Dubai? Je watapata wanachokitafuta?

    Ushajiuliza kwanini israel alipiga mabomu qatar, au anauwa wapalesyina
  3. F

    Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Usiwahusishe waislamu na upuuzi wenu fa a la wewe. Uislam umeingiaje hapo. Dilini na upuuzi wenu na sio dini. Mnanata tuwe list hapa ya wafanyakazi wa BOT tuone waislam wangapi na wala nguruwe wangapi
  4. F

    Katiba mpya na tume huru ndio maridhiano ya kweli

    Je yakifanyika yale yale yaliofanya amani itoweke baada ya maridhiano, je maridhiano yatakuwa na maana? Maridhiano ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sio sinema
  5. F

    PostGE2025 Aliyekosoa mchakato wa uteuzi wa Samia ndani ya CCM, Mzee Godfrey Malisa ashtakiwa kwa UHAINI

    Ok awa tuseme alikuwa qnatumika, swali la msingi, je alichokua anaongea ni kweli au alizusha
  6. F

    PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    Kauli muhimu kuliko zote. TANZANIA NI MUHIMU KUKO HATA MPIRA WA MIGUU
  7. F

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Siasikiliza yote Lakini swali kwa msigwa, wachina ndio wapo tayari kuendeha huu mradi kwa hasara?
  8. F

    Barua kwa John Pombe Magufuli

    Huu ni upumbavu, mtu ameshafatiki miaka 5 iliopita bado mnamuwaza tu. Kwani mnasdhindwa kutekebisha palipoharibika. Mbona mambo mnayotaka kubad8lisha yanabadilika within a night. Tukubali tu magu ashafariki tupambane na hali tulionayo. Kutaja mazuri au mabaya ya tawala zilizopita haisaidii
  9. F

    Zungu: Jaji Warioba kuongea hadharani ni kuzua taharuki

    Hivi ile reprt ya ali k8bao imeishia wapi
  10. F

    PostGE2025 Jaji Warioba: Serikali ikubali imechangia sana katika yaliyotokea, ni kama sasa wameachia polisi ndiyo inatawala

    Kwa hiyo idd amin alikuwa na huruma na sisi kuliko rais tuliemchagua
  11. F

    Watz wametoka kumuona messi(magufuli) sasa wanamuona Yamal (SSH)

    Politics in football labguage
  12. F

    Watz wametoka kumuona messi(magufuli) sasa wanamuona Yamal (SSH)

    Mashabiki ambao ni wananchi wametoka kumuona messi ambae ni magu, sasa timu imetafuta mchezaji mbaye ata cover nafasi ya messi amepatikana yamal (ssh). Sasa huyu Yamal sio mbaya lakini mashabiki/wananchi kila wakijaribu ku compare hawa wachezaji hawamuelewi Yamal. Kwa kifupi kivuli cha messi...
  13. F

    Ni muhimu kukaa na kuelewa kuwa kuna njia nyingi za kuidai haki na sio maandamano pekee

    Hivi unataka kusema hujui kuwq watu waliongea sana kuhusu reforms mda mrefu sana, katiba mpya na mikata mibovu
Back
Top Bottom