Recent content by french

  1. F

    JamiiForums Tanzania Dunia sasa imeelewa Iran haruhusiwi kuwa na nguvu kashindwa vita ameamua kuumiza wote tukose Kwa kufunga Harmouz Hadi Tanzania wataumia Us Wanayo yao

    Kabla ya uvamizi strait of Hormuz ilikuw kwenye hali gani. Ukijibu hilo utapata jibu
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi LATRA: Asipandishe mtu nauli kwa kusingizia mafuta kupanda

    Hahaha, sasa serikali si wasubsdize ili bei ishuke ya mafute, au hamna hela
  3. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CAF: Kenya haina Kiwanja chenye sifa za kutumika AFCON

    Kenya wametoa kina Mariga na wanyama na wengi tu kwenda ulaya timu kubwa. Wewe umetia nani
  4. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    natafuta kifaa cha kujanga hatch kama hii ya mwezi mchanga
  5. F

    JamiiForums Tanzania Iran kwa nini wanashambulia hadi Dubai? Je watapata wanachokitafuta?

    Ushajiuliza kwanini israel alipiga mabomu qatar, au anauwa wapalesyina
  6. F

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Usiwahusishe waislamu na upuuzi wenu fa a la wewe. Uislam umeingiaje hapo. Dilini na upuuzi wenu na sio dini. Mnanata tuwe list hapa ya wafanyakazi wa BOT tuone waislam wangapi na wala nguruwe wangapi
  7. F

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya na tume huru ndio maridhiano ya kweli

    Je yakifanyika yale yale yaliofanya amani itoweke baada ya maridhiano, je maridhiano yatakuwa na maana? Maridhiano ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sio sinema
  8. F

    JamiiForums Tanzania Hakuna sababu ya kufanya maridhiano na watu ambao walijipanga kuvuruga amani na uchaguzi

    Ile tume ya uchunguzi ya kifo chake imeishia wapi
  9. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Aliyekosoa mchakato wa uteuzi wa Samia ndani ya CCM, Mzee Godfrey Malisa ashtakiwa kwa UHAINI

    Ok awa tuseme alikuwa qnatumika, swali la msingi, je alichokua anaongea ni kweli au alizusha
  10. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    Kauli muhimu kuliko zote. TANZANIA NI MUHIMU KUKO HATA MPIRA WA MIGUU
  11. F

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Siasikiliza yote Lakini swali kwa msigwa, wachina ndio wapo tayari kuendeha huu mradi kwa hasara?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Wanaotumihiwa kuiba Bil mbil Tamesa wanafutwa kazi na kupelekwa Mahakamani. Angela Kiziga yupo Ikulu akimsadia rais Samia Kazi

    Nadhani upo nje ya mda sana. Mange alipost docs zote, au hukuona
  13. F

    JamiiForums Tanzania Barua kwa John Pombe Magufuli

    Huu ni upumbavu, mtu ameshafatiki miaka 5 iliopita bado mnamuwaza tu. Kwani mnasdhindwa kutekebisha palipoharibika. Mbona mambo mnayotaka kubad8lisha yanabadilika within a night. Tukubali tu magu ashafariki tupambane na hali tulionayo. Kutaja mazuri au mabaya ya tawala zilizopita haisaidii
  14. F

    JamiiForums Tanzania Zungu: Jaji Warioba kuongea hadharani ni kuzua taharuki

    Hivi ile reprt ya ali k8bao imeishia wapi
  15. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Serikali ikubali imechangia sana katika yaliyotokea, ni kama sasa wameachia polisi ndiyo inatawala

    Kwa hiyo idd amin alikuwa na huruma na sisi kuliko rais tuliemchagua
Back
Top Bottom