Usiwahusishe waislamu na upuuzi wenu fa a la wewe. Uislam umeingiaje hapo. Dilini na upuuzi wenu na sio dini. Mnanata tuwe list hapa ya wafanyakazi wa BOT tuone waislam wangapi na wala nguruwe wangapi
Je yakifanyika yale yale yaliofanya amani itoweke baada ya maridhiano, je maridhiano yatakuwa na maana? Maridhiano ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sio sinema
Huu ni upumbavu, mtu ameshafatiki miaka 5 iliopita bado mnamuwaza tu. Kwani mnasdhindwa kutekebisha palipoharibika. Mbona mambo mnayotaka kubad8lisha yanabadilika within a night. Tukubali tu magu ashafariki tupambane na hali tulionayo. Kutaja mazuri au mabaya ya tawala zilizopita haisaidii
Mashabiki ambao ni wananchi wametoka kumuona messi ambae ni magu, sasa timu imetafuta mchezaji mbaye ata cover nafasi ya messi amepatikana yamal (ssh). Sasa huyu Yamal sio mbaya lakini mashabiki/wananchi kila wakijaribu ku compare hawa wachezaji hawamuelewi Yamal. Kwa kifupi kivuli cha messi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.