Recent content by Freekamanda

  1. F

    Hongera vyombo vya habari kwa kupuuza habari za CHADEMA

    Hhhhhh (clouds fm, gazeti la jambo leo na wengine waliokaa kimya.......... wote hao ni vibaraka wa magamba ccm mtajiju,,,,Arusha hamtuwezi...!
  2. F

    WAZIRI MKUU PINDA: Maiti wote wa mlipuko wa Bomu watazikwa na Serikali!!

    Kweli nimeamini nyinyiem ni mamburula, eti watu wasikusanyike sasa maiti watazikwaje na ni utamaduni wetu watanzania kuzikana/
  3. F

    Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

    huyu jamaa hana lolote, hana uchungu na nchi hii, anataka jamaa aachiwe ili ahamasishe maandamano watu wauawe ndo anapata rahaaaaaa! ashindwe alegeee......!
  4. F

    UJUMBE wa SMS wa Lema kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha

    amani ki2 muhimu sana, serikali ya ccm imefikia mahali haizingatii tena suala la amani, wanachotaka wao ni madaraka2, ifike mahali sasa wananchi tuwakatae kwa nguvu zetu zote mana wanatumia fedha za kodi zetu kutoa rushwa, wanatumia vyeo tulivyowapa kutunyanyasa, ndugu zangu wa arusha na popote...
  5. F

    Rais wa 2015, Maghembe anafaa

    hana lolote huyo, amalize kipindi chake arudi usangi akalime viazi mana hata ubunge pale mwanga hatakiwi tena!
  6. F

    Vua gamba vaa gwanda ndani ya mwanga kilimanjaro

    Aminia makamanda hawamwogopi mtu, hakuna cha Msuya wala nini msisahau kufika ugweno( Msangeni, Kifula, vuchama Mangio Masumbeni na Butu) huko magamba kibao wanahitaji kuvaa Gwanda!
  7. F

    Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

    kaazi kweli kweli kibajaji
  8. F

    pongezi za viongozi wa CCM juu ya ushindi wa Nasari

    Kazi ni moja tu, ushindi..............2015 magamba watakiona cha moto! Hongera CDM
Back
Top Bottom