inatia huruma lakn ata mama yake a share experiences zake na jamii ili na wa mama wengne wapate kujua ugum watakaoupata endapo watazembea kuwalea watoto wao kwenye maadili na uangaliz wa hali ya juu hasa watoto wa kiume sisemi kwamba na yy alizembea, no..lakn itasaidia sana, i think so.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.