Recent content by free prisoner

  1. F

    Nini maana ya Kambi ya Upinzani?

    Siku moja nilimuuliza swali mheshimiwa mmoja: Kwanini ulikuwa unasimama jukwaani na kusema CCM matumbo ya Tembo yanameza kila kitu na hawashibi, wamemaliza nchi kwa matumbo yao makubwa yasioshiba, na sasa katika kipindi hiki cha awamu ya tano ya tumbua tumbua unasema watu wananyanyasika hakuna...
  2. F

    Sehemu nzuri zaidi kwa Tanzania

    kweli kabisa nafurahia kuishi tanzania
  3. F

    Dakika moja kuwaombea wazazi waliokula ada wakitegemea shule kufunguliwa mwakani

    mimi ninao saba 7 kila mtoto ana riziki yake shule wataenda tu
  4. F

    Hongera awamu ya tano, hongera Rais Magufuli ziwa Victoria limependeza

    yapo ya kutosha leo nipo maeneo ya katoro hapa
  5. F

    Hongera awamu ya tano, hongera Rais Magufuli ziwa Victoria limependeza

    waswahili wanasema hata kama hakili huna na macho huoni? mimi ni mzalendo naona kwa macho na sio kwa kampeni
  6. F

    Hongera awamu ya tano, hongera Rais Magufuli ziwa Victoria limependeza

    Nilihamia kanda ya ziwa miaka ya 1990, nilipofika sokoni nilikutana na samaki (sangara) wakubwa kama mimi, nilishangaa sana maana vilikuwa ni vitu vigeni kwangu, walikuwa wanatumia mashoka na mapanga kutukatia vipande kwa fedha uliyokuanayo, miaka ikasogea na ukubwa wa sangara ukazidi kuwa...
  7. F

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    ndio, mwanaume mwingine ana uwezo mdogo wa kufanya maamuzi, lakini hataki mawazo ya mwanamke anaona akiyatumia wawazo ya mwanamke ataonekana hafaii
  8. F

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    wanawake wa sasa wanajitambua hawataki manyanyaso ya wanaume, wanaume wengi wana tabia ya kuona wanawake hawana uwezo kama wao hawawapi uhuru wa kuchangia mawazo yao
  9. F

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Wanawake wa sasa wanajitambua hawataki kunyanyaswa
  10. F

    Mwanza City: The Photo Gallery

    DUU usikute mnabishana tu majengo myaonayo labda mnaishia tu getini
  11. F

    Mfahamu mnyama kazi punda

    Wengi wanamfahamu punda kuwa ni mnyama anayefanya kazi, jamii za Tanzania hasa mkoa wa arusha na manyara wanamtumia punda kwa ajili ya kubeba mizigo yao, wengi wao humbebesha punda mzigo mgogoni kama magunia ya mahindi, mkaa maji na kuni. Punda amekuwa ni nyenzo muhimu katika usafirishaji wa...
  12. F

    Hodi humu ndani naipenda jamii na natetea wanyama wafanyao kazi

    Naipenda jamii na natetea wanyama wafanyao kazi.
  13. F

    GE2020 Askofu Dr. Bagonza kumbuka Rais ni taasisi. Je, ulitaka Magufuli asizungumzie Uchaguzi kisa ni Mgombea?

    kwa kweli huu ni mwaka wa kuhangaika kila mtu ataonesha kuwa yeye anaweza
Back
Top Bottom