Geti gani kalipia 4500. Maana ushuru inategemea na geti la halmashauri husika. Mimi nimeweka geti la halmashauri ya Ifakara mji
Huyo yupo Mbingu, ni halmashauri ya wilaya ya Mlimba. Ushuru ni mapato ya ndani ya halmashauri hivyo kiwango kinaamuliwa na halmashauri husika
CRB ni mfumo rejea wa mikopo. Ni mikopo yote iliyolipika na isiyolipika (hata kama bado ni mkopo endelevu unaolipwa kwa wakati). Kama umekopa benki au taasisi rasmi za ukopeshaji jina lazima liwekwe kwa ajili ya rejea. Hii taarifa huwezi kuitoa hata kama umelipa
Songesha kuna huduma za aina mbili. Kuna songesha kwa watu wa kawaida na songesha wakala. Vodacom ana ubia na FINCA kwenye songesha wakala na si songesha kwenye laini za kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.