Illuminata nakumbuka siku mmoja ulitaja kutelekezwa na mimba mwaya. Embu waulize upate uzoefu shogangu. Mi bado naamini ipo siku mwanaume aliyekupa ujauzito atakutafta. Mungu na Yesu kristo Mfalme wakutangulie ktk uzazi salama.
Kinachozungumzwa hapo ni kuwa hata yule aliyeonekana kuisoma hotuba ya kingereza hakuisoma vizuri japo maneno yaliandikwa vizuri, kwanini ashinde kusoma vizuri?
Leo njia panda ya Clouds Fm Wakonta ambaye ni mmoja wa wanafunzi waliopata ajali hiyo miaka minne iliyopita kahojiwa na Dr Maro. Inasikitisha sana kwani kashapooza nusu ya mwili kushuka chini na pia hakufanya mtihani wa form 6. Mahojiano yataendelea wiki ijayo ila kifupi Wakonta anaondka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.