Recent content by free freed

  1. F

    Ngekewa(Capybara): Mnyama pekee apendwae na wanyama wote

    Kweli jamii forum twajifunza mengi
  2. F

    Ni changamoto gani mwanamke unakumbana nazo kumlea mtoto peke yako?

    Illuminata nakumbuka siku mmoja ulitaja kutelekezwa na mimba mwaya. Embu waulize upate uzoefu shogangu. Mi bado naamini ipo siku mwanaume aliyekupa ujauzito atakutafta. Mungu na Yesu kristo Mfalme wakutangulie ktk uzazi salama.
  3. F

    Hotuba ya Rais Magufuli kwa Kiingereza kwenye ziara ya Waziri Mkuu wa India

    Kinachozungumzwa hapo ni kuwa hata yule aliyeonekana kuisoma hotuba ya kingereza hakuisoma vizuri japo maneno yaliandikwa vizuri, kwanini ashinde kusoma vizuri?
  4. F

    Zaidi ya nusu ya Wakurugenzi wateule kuenguliwa

    Nilishaliona hili mapemaaa
  5. F

    Zaidi ya nusu ya Wakurugenzi wateule kuenguliwa

    Vizuri sana, ila ungetumegea hizi habari umepata kutoka chanzo kipi isije ikawa propaganda, japo habari kwa kweli zinatia tumaini.
  6. F

    Usichojua kuhusu makanisa ya kiroho

    Hosea 4 :6 watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Take care.
  7. F

    Mwanafunzi Shule ya wasichana Korogwe agonga wenzake kwa gari wakijiandaa kwa mahafali

    Sory, Wakonta anaandika kwa kutumia ULIMI kwa sasa
  8. F

    Mwanafunzi Shule ya wasichana Korogwe agonga wenzake kwa gari wakijiandaa kwa mahafali

    Leo njia panda ya Clouds Fm Wakonta ambaye ni mmoja wa wanafunzi waliopata ajali hiyo miaka minne iliyopita kahojiwa na Dr Maro. Inasikitisha sana kwani kashapooza nusu ya mwili kushuka chini na pia hakufanya mtihani wa form 6. Mahojiano yataendelea wiki ijayo ila kifupi Wakonta anaondka kwa...
  9. F

    Mbowe awazuia BAVICHA kwenda Dodoma

    Moja wa ushauri muhimu sana ktk uzi huu kuliko Comment yoyote.
  10. F

    Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

    Hii ni idara au kada gani ya utumishi?
  11. F

    Tofauti ya uchapaji viboko mashule, zamani na walimu wa sasa katika picha

    H Hivi maana yake nini maana pia sijui
  12. F

    Tofauti ya uchapaji viboko mashule, zamani na walimu wa sasa katika picha

    Hii mpya yanipa mashaka maana mwanafunzi mwenyewe ni mtu mzma sana. Naona maigizo hapo.
Back
Top Bottom